Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
Gazeti la Mwananchi la leo limekuja na habari nzito inayoelezea kuwa sasa hivi Lisu na Mbowe wako kwenye vita rasmi kwani kila mmoja ana amini ya kwake tofauti na msimamo wa Chadema.
Freeman Mbowe ana imani katika kulamba asali na amesikika mara kwa mara akimsifia Rais Samia kuwa pamoja na kwamba ametokana na legacy ya Magufuli lakini ni kiongozi mzuri na yuko tayari kuwaomba Chadema wamtetee 2025 ili aendelee kuwa Rais mpaka mwaka 2030.
Tundu Lisu yeye amesikika akiponda maridhiano yaliyofanywa na Mbowe na Rais Samia akiiyaita ni nusu mkate na ni utapeli mkubwa kwa wana Chadema.
Lisu anatamani Rais Samia aondolewe madarakani kwenye uchaguzi mkuu wa 2025
Freeman Mbowe ana imani katika kulamba asali na amesikika mara kwa mara akimsifia Rais Samia kuwa pamoja na kwamba ametokana na legacy ya Magufuli lakini ni kiongozi mzuri na yuko tayari kuwaomba Chadema wamtetee 2025 ili aendelee kuwa Rais mpaka mwaka 2030.
Tundu Lisu yeye amesikika akiponda maridhiano yaliyofanywa na Mbowe na Rais Samia akiiyaita ni nusu mkate na ni utapeli mkubwa kwa wana Chadema.
Lisu anatamani Rais Samia aondolewe madarakani kwenye uchaguzi mkuu wa 2025