Sasa ni Rasmi - Gaza kuwa Jewish City Netanyahu akubali - Arabs wote kufukuzwa Dawa ya Jeuri ni Kusudi, hard kuishi na waongo Aamua kufuata Quran 5:21

Mlaleo

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2011
Posts
16,338
Reaction score
13,135

Babu kachoka na visingizio na kutishiwa Nyau eti Uingereza sijui Canada kaamua kuwaambia kama Mbwai mbwai tu so Palestina kutawanywa watakuwa Taifa katika nchi kadhaa Duniani ila Sio katika Ardhi Allah aliyompa Nabii Musa na Vizazi vyake Quran 5:21​

Enyi watu wangu! Ingieni katika nchi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekuandikieni. Wala msirudi nyuma, msije mkawa wenye kukhasirika.​

Report: Netanyahu decides to occupy Gaza​

Sources from the Prime Minister's office report that Benjamin Netanyahu has decided to capture and occupy the Gaza Strip, against the position of the IDF, and will discuss it with the Cabinet.​



Sources in the Prime Minister's office believe that Benjamin Netanyahu has made a fundamental decision to capture and the Gaza Strip as part of Operation Swords of Iron.

According to them, ministers who have spoken with Netanyahu recently heard from him about his intention to expand operations in Gaza, and even reported that he used the words "capturing the strip."

According to reports, if the decision is implemented, it would contradict the position of the IDF and Chief of Staff Eyal Zamir, who oppose such a large-scale operation at this stage.

Tomorrow, the political leadership is expected to hold a special meeting regarding the continuation of the military operation, including the possibility of significantly expanding it.
 
A group of some 600 retired Israeli security officials, including former heads of intelligence agencies, have written to US President Donald Trump to pressure Israel to immediately end the war in Gaza.
"It is our professional judgement that Hamas no longer poses a strategic threat to Israel," the officials said.
"Your credibility with the vast majority of Israelis augments your ability to steer Prime Minister [Benjamin] Netanyahu and his government in the right direction: End the war, return the hostages, stop the suffering," they wrote.
Their appeal comes amid reports that Netanyahu is pushing to expand military operations in Gaza as indirect ceasefire talks with Hamas have stalled.
 
Nini Maofisa walio retire Mku wa Majeshi kaambiwa kama huwezi order jiuzulu, Netanyahu anafanya kazi ya Mungu kuondosha vijukuu vya iblis Gaza. Gaza imekuwa kituo cha uongo Duniani inatia kinyaa bora amalize kazi hata nyie mtapungukiwa dhambi za uongo wenu kha!

Netanyahu decides on full occupation of Gaza Strip, IDF activity in areas with hostages, PMO says​

The Prime Minister's Office conveyed the message to IDF chief, saying If this does not suit you, then you should resign.​

 
Waliotangaza kuitambua Palestine kama taifa walikosea.... Walipaswa kuhakikisha kwanza hii vita inamalizika....
Wajinga sana walidhani wakimtisha Netanyahu apoe awe mjinga kujisalimisha kwa Iblis muongo, kibaya Hamas wamezishukuru hizo nchi unategemea nini tena kwa Netanyahu, ni sawa na Mtoto atembee kisha aanguke asikie maumivu na watu wapo akiona hawajaona wapo busy halii sasa watu wacheke kilio chake sio cha Gaza
 
Hahahahaha Mungu wake ni Trump 😂😂😂
Mungu wake juzi kamwambia acha uongo Gaza kuna njaa😂
 
Trump alitoa ushahidi?
Wewe punguani hauna unalojua zaidi ya mipasho mabwana zenu huko US wameishatofautiana wewe endelea kukata viuno. Soma hii.

The pushback is surfacing in different forms and varying degrees of formality. There have been votes to block U.S. weapons sales and proposals to recognize a Palestinian state. Many lawmakers have issued statements of public condemnation. Others have gone a long step further with accusations of genocide. And unlike debates of the past, some of the harshest rebukes are coming from conservative Republicans who have traditionally been stalwart defenders of Israel’s military exploits.

It remains unclear if the blowback signals a hardened, durable philosophical shift in thinking on U.S.-Israel policy, or if it’s merely a temporary protest of a specific episode that will dissipate when the fighting in Gaza subsides.

But this much is clear: Something is changing on Capitol Hill, and it’s influencing lawmakers in both parties. Some said Congress is simply reflecting shifting sentiments back in their districts.

“There’s been an attitudinal change on Capitol Hill because the Israeli government’s approval ratings by the people of the United States of America have been sinking. And they continue to sink, not just among Democratic voters but among Republican voters, as well,” Rep. Hank Johnson (D-Ga.) said Friday by phone.

“The problem for the Israeli government is that the American people know genocide when they see it.”

Rep. Brad Schneider (D-Ill.), one of Israel’s most vocal congressional defenders, said there’s always been a natural “ebb and flow” in U.S.-Israel relations — a vacillation occurring when “the politics of the United States intersects with the reality of what’s going on in Israel,” he said. But the Israeli government, he added, is helping drive the current ebb through its actions in Gaza.

“Two things can be true. Hamas has the power to end this war — this war is an absolute crisis for the Palestinian people — and Israel … has a responsibility to do everything it can to ensure that the people in Gaza are able to get the sustaining aid that they need,” he said Friday in a phone interview.

Though the concerns are bipartisan, they also seem to be rooted in different places.

For Democrats, the relationship with Benjamin Netanyahu, Israel’s conservative prime minister, has been strained for many years. Many condemned his visit to the Capitol in 2015, when he used a rare address to a joint session of Congress to blast former President Obama’s effort to forge a nuclear deal with Iran. And the tensions have only grown since Netanyahu formed the most far-right coalition government in Israeli history, one which is opposed to the two-state blueprint Democrats deem the only workable way to achieve a lasting peace in the region.

“The worst thing for Israel, and the U.S.-Israel relationship, is for that relationship to become a partisan issue. And we’re finding it becoming a partisan issue,” Schneider said. “In no small part, a lot of the blame rests on the shoulders of Prime Minister Netanyahu and the actions he’s taken across many years.”

The Democratic critics are all quick to emphasize their support for the state of Israel and its right to self-defense, particularly in the wake of Hamas’s attacks of Oct. 7, 2023, in which the group killed 1,200 people and kidnapped 250 others. But given their fraught history with Netanyahu, there’s been little surprise Democrats would pounce on his retaliatory response, as the Israeli military has killed more than 60,000 people in Gaza, and recent images of starving children have horrified the world.

“Should another government be voted into power that is interested in peace, I think the American people will support that government and the state of Israel,” Johnson said, emphasizing that the beef is with the current Israeli government, not Israel itself.

More stunning have been the criticisms from the Republican side of the aisle, where support for Israel has been routine and GOP leaders have long sought to highlight Democratic divisions by staging tough votes on the issue.

That GOP unity has cracked in recent weeks. And the trend might be more lasting, because some of the Republican critics are invoking the “America First” mantra that helped propel Trump to the presidency, where his unique brand of populist isolationism has shaken the foundations of the GOP’s traditional support for a muscular foreign policy in defense of global democracy.

Rep. Thomas Massie (R-Ky.) has been a leading opponent of U.S. intervention abroad, even in support of allies. As the news of a hunger crisis has filtered out of Gaza, he’s stepped up those criticisms with more pointed denouncements of Israel’s conduct of the war.

“Israel’s war in Gaza is so lopsided that there’s no rational argument American taxpayers should be paying for it,” Massie posted recently on the social platform X. “With tens of thousands of civilian casualties, there’s a moral dilemma too. I vote to stop funding their war and lobbyists for Israel pay for campaign ads against me.”

If that was the extent of the GOP opposition, few would blink an eye. But last month, Rep. Marjorie Taylor Greene (R-Ga.), a staunch conservative and close ally of President Trump, made waves when she forced a vote on legislation to block roughly $500 million in U.S. military aid to Israel; Massie also voted for it. And she made waves again last week when she accused Israel of orchestrating a “genocide” against Palestinians. In doing so, she became the first Republican in Congress to apply the term to the war in Gaza.

“There are children starving. And Christians have been killed and injured, as well as many innocent people. If you are an American Christian, this should be absolutely unacceptable to you. Just as we said that Hamas killing and kidnapping innocent people on Oct 7th is absolutely unacceptable,” Greene posted Thursday on X.

“Are innocent Israeli lives more valuable than innocent Palestinian and Christian lives? And why should America continue funding this?”

Trump has given his GOP allies plenty of space to broadcast their condemnations. While the president has urged Israeli leaders to “finish the job” of eliminating Hamas, he also pointedly rejected Netanyahu’s claims there is no hunger crisis in Gaza.

“Based on television, I would say not particularly, because those children look very hungry,” Trump said last week in Scotland, where he was meeting with U.K. Prime Minister Keir Starmer. “There is real starvation in Gaza — you can’t fake that.”

The humanitarian crisis has sparked a wave of congressional activity pushing back against Israel’s actions.

Sen. Bernie Sanders (I-Vt.) forced a vote last week on a resolution to block weapons sales to Israel, similar to Greene’s proposal. It failed on the Senate floor, but not before it won the support of a majority of Democratic senators — a record number.

In the House, Rep. Ro Khanna (D-Calif.) is circulating a letter urging the U.S. government to recognize a Palestinian state for the first time — an effort that’s already won the endorsements of roughly a dozen liberal Democrats.

This month, a number of House lawmakers will be visiting Israel on separate congressional trips, one led by GOP leaders and the other by Democrats. The participants are largely Israel allies, but other lawmakers are warning that, if Israel doesn’t act swiftly to resolve the humanitarian crisis in Gaza, its opponents on Capitol Hill will only grow.
 
Trump alitoa ushahidi?
Based on television, I would say not particularly, because those children look very hungry,” Trump said last week in Scotland, where he was meeting with U.K. Prime Minister Keir Starmer. “There is real starvation in Gaza — you can’t fake that.”

Bwege wewe endelea kuwadanganya mapunguni wenzako.
 
Unaniletea Gazeti lote la nini mimi? Marekani ni nchi ya Kidemocrasia watu wanaongea wanavyotaka ila wa Mwisho ndio Mshindi, Israel ilikuwepo na itaendelea kuwepo Period. zishapita Nyakati ngumu kabisa kwa Israel ila ili survive Kampeni za Sasa ni cha mtoto kumsingizia kila uongo. una jua Genocide wewe? kaulize Rwanda ilikuwaje. Wapumbavu wataendelea kuwa Wapumbavu
 
Ndio huo ushahidi ambao Yew york Times Washington post walikubali wamekosa, hao jamaa wana tons of apology kwa Israel as long wameshafanya damage kwao yametimia wanaomba msamaha inaisha Hakuna Njaa Gaza

New York Times admits using misleading cover photo of emaciated Gaza child​

 
Uingiliaji wa hivi punde zaidi wa maafisa wakuu wa zamani wa Israeli ulikuja baada ya video za mateka wawili waliodhoofika wa Israeli kutolewa na wanamgambo wa Hamas na Islamic Jihad.
Video hizo zililaaniwa vikali na viongozi wa Israel na Magharibi.
Baada ya video hizo kutolewa, Netanyahu alizungumza na familia mbili za mateka, akiwaambia kwamba juhudi za kuwarudisha mateka wote "zitaendelea kila mara na bila kuchoka".
Lakini afisa wa Israeli - aliyenukuliwa sana na vyombo vya habari vya ndani - alisema Netanyahu alikuwa akifanya kazi ya kuwakomboa mateka kupitia "kushindwa kijeshi kwa Hamas".
Uwezekano wa kuongezeka kwa hali mpya huko Gaza huenda ukawakasirisha zaidi washirika wa Israel ambao wamekuwa wakishinikiza kusitishwa mara moja kwa mapigano huku ripoti za Wapalestina wanaokufa kwa njaa au utapiamlo zikizua taharuki duniani kote.
Kundi kuu linalounga mkono familia za mateka lililaani wazo la mashambulizi mapya ya kijeshi likisema: "Netanyahu anaiongoza Israel na mateka kuangamia."
Mtazamo huo uliwekwa wazi katika barua kwa Trump na mkuu wa zamani wa Mossad Tamir Pardo, Ami Ayalon, mkuu wa zamani wa Shin Bet - wakala wa siri wa Israeli - Waziri Mkuu wa zamani Ehud Barak, na Waziri wa Ulinzi wa zamani Moshe Yaalon miongoni mwa wengine.
"Mwanzoni vita hivi vilikuwa vita vya haki, vita vya kujihami, lakini tulipofikia malengo yote ya kijeshi, vita hivi vilikoma kuwa vita vya haki," alisema Ayalon.
Viongozi hao wakuu wa zamani wanaongoza Kundi la Makamanda wa Usalama wa Israel (CIS), ambalo liliitaka serikali hapo awali kutilia mkazo katika kuwaokoa mateka hao.
"Sitisha Vita vya Gaza! Kwa niaba ya CIS, kundi kubwa zaidi la Israeli la majenerali wa zamani wa IDF na Mossad, Shin Bet, Polisi, na Wanadiplomasia wanaolingana, tunakuhimiza kumaliza vita vya Gaza. Ulifanya hivyo huko Lebanon. Wakati wa kufanya hivyo huko Gaza pia," waliandika kwa rais wa Marekani.
 
Una shida ya akili siyo bure
 
Wewe bwege kweli hutaki mimi nikuletee gazeti halafiu unalitea nini uharo?

Usiwe punguani yaani Trump wakati yupo Scotland kasema wazi Gaza kuna njaa tusiwe waongo inanoletea porojo waambie mashoga wenzako
 
So what? Gaza ndio ishabebwa hiyo hoja ikifika Kneset imeisha hiyo
 
Wewe bwege kweli hutaki mimi nikuletee gazeti halafiu unalitea nini uharo?

Usiwe punguani yaani Trump wakati yapo Scotland kasema wazi Gaza kuna njaa tusiwe waongo inanoletea porojo waambie mashoga wenzako
Mimi sijakuambia usome nimekuwekea tu hao watu wa propaganda zao ni kuzusha kisha wanaomba msamaha so kuwa makini usiingizwe chaka habari soma kwenye vyanzo mbali mbali ambavyo havina historia ya uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…