Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Kasakazini prince wa jana alishakupiga dafraoHivi kuna Waziri , Naibu Waziri toka Arusha NA Kilimanjaro
Kasakazini prince wa jana alishakupiga dafraoHivi kuna Waziri , Naibu Waziri toka Arusha NA Kilimanjaro
Kule mashariki tulivyo wanyenyekevu tunasubiri kuona sura ya mgombea wakati wa campaign, tukipewa khanga, vitenge, vilemba, kofia na t-shirt tunapiga makofi wa nguvu zote.
Mkuu hufahamu geografia ya nchi yako au unataka kunitia kitanzini?Mashariki ni wapi Sky
Wapi mkuu Tanga?Kule mashariki tulivyo wanyenyekevu tunasubiri kuona sura ya mgombea wakati wa campaign, tukipewa khanga, vitenge, vilemba, kofia na t-shirt tunapiga makofi wa nguvu zote.
Tanga na Pwani ni mashariki.Wapi mkuu Tanga?
Mbona mzee wa msoga alikuwa akishinda kijijini kwao mara kibao wala hamkulalamika au kwa sababu msoga ni karibu na Dar? Tuwe fair bwana tuache chuki!Salaam Wakuu.
Takribani ni Mwaka mmoja toka Serikali ya Awamu ya 5 ishike hatamu naona Trip za Wakubwa zaidi kwanzia PM zaidi ya 90% ni Kusini, yaani Lindi na Mtwara, mathalani PM baada ya Kutoka tu Arusha Juma lililopita kapitiliza Mtwara na leo hii Ruangwa ambako ndiyo jimbo lake, ni zaidi ya mara 3 anashinda huko wakati kuna Mikoa hajakanyaga Kusikiliza Kero za Wananchi wao wenyewe maana ndiyo inatia Uzito. Ikumbukwe ni Waziri Mkuu na si Mbunge wa kawaida.
Naye Mkulu toka State House ndiyo Kabisaaa, ameenda Chato naye si Chini ya Mara 3 na leo yupo huko kwa kisingizio eti kaenda Msibani.Mbona Bukoba walikufa Watanzania na wengi zaidi na jirani na Chato ila hajawahi Kanyaga?
Kama wewe si wa Kusini ama Kanda ya Ziwa hususani Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Geita nje na Dar es Salaam utasubiri saana.Kumbuka Ukweli hisia huja zaidi baada ya Kujionea.
Aliyoyakataza Muasisi wa Taifa hili la Tanznaia Hayati; Mwl. JK Nyerere yaani, Ukabila, Ukanda na Udini yanarejea kwa Kasi ya Ajabu saana, kwa Pamoja wapenda Tanzania tuyapinge kwa nguvu zetu zote.
Pwani, Dar,- Morogoro???Mkuu hufahamu geografia ya nchi yako au unataka kunitia kitanzini?
Asante mkuu, hii ni mashariki.Pwani, Dar,- Morogoro???
Nimetoka kapa!Kasakazini prince wa jana alishakupiga dafrao
okey. maana hata songea na mbeya ni ruvuma pia...Nimetaja tayari mkuu, soma vizuri.
unakumbuka ule usemi kuwa rais hatatoka kaskazini?Nimetoka kapa!