Sasa ni dhahiri kuwa CHADEMA si Mbowe, Dr. Slaa, Lissu wala Lema. CHADEMA ni imani na haitakufa kirahisi!

Chadema will stay forever
 
Naijua nchi hii vyema, hasa kisiasa, ilipotoka-ilipo-na inapokwenda.
Sijawahi kujutia kusoma maandiko yako, maana penye ukweli huwa unazungumza ukweli, Na nyeupe huiita nyeupe, Tofauti na wana_CCM wengine wa hapa JF

🙌

CHADEMA imejitengeneza katika falsafa ya kiuanaharakati. falsafa ya kupambania usawa, haki, mshikamano, amani na utulivu Imani hukaa moyoni na rohoni mwa watu. Ni ngumu kuichomoa huko.

Sasa wamekuwa wafuasi wa msimamo wangu kuwa siasa ni kushindanisha na kuonesha sera na utekelezaji wake.

Utafika wakati, vyombo vya ulizi na usalama vitatamani kusikia kwanza sera bila hela na kushawishiwa na ahadi bila zawadi. Vitatamani kuona ushindani wa nje na ndani ya uwanja wa kisiasa kabla ya kuelendelea kulinda maslahi ya nchi badala ya chama.
Ikiwa nchi ya Ghana imeweza, Na hakika hata tanzania tunaweza, Vyombo vyetu vya usalama wanalakujifunza toka Ghana.
 
Kuwashughulikia viongozi wa chadema ni sawa na kujilisha upepo.

Mhu 1:14 SUV​

Nimeziona kazi zote zifanywazo chini ya jua; na, tazama, mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo.
 
Unatafuta kiki tu za mtandaoni.
 
kweli, There's a light at the end of the tunnel...

inafurahisha kuona bado kuna wanaCCM wanaamini kwenye siasa za ushindani wa huru na haki, ukiondoa hili wimbi la miaka hii la machawa wanaojua kusifu na kuabudu CCM haiwezi kusimama kwa hoja bila kutumia dola
 
Hata uchaguzi uliopita mimi bado sikuafiki sana cdm kushiriki na msimamo wangu ule uliufahamu. Nadhani hata nyie mliokuwa na mashaka na mtazamo wangu, mmejiridhisha pasi na shaka kuwa kwa muundo huu wa uchaguzi na tume hii ni kupoteza muda. Kwa tulipofikia sasa bila mabadiliko ya tume ya uchaguzi, na katiba mpya, machafuko pekee ndio njia ya uhakika ya mabadiliko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…