Nashukuru sana macomrade wenzangu wa ccm..chama cha uhakika na chenye maono..naimani kila sehemu kuna changamoto na kuna njia nyingi nzuri za kupeleka mawazo na chama cha mapinduzi ni chama ambacho sikivu..nimefurahi sana macomrade na nitawashawishi wanaharakati wengi walioko kule chadema kwa kuwaeleza warudi huku ccm ndo chama sikivu na kinachoonyesha moyo wa kuwasaidia watanzania.
Upo mradi wa buku 7. Jaza form mapema kutoka kwa KM. pale lumumba. Usisahau kusema unataka kutumikia nafasi gani.