......vijana wa ccm hamna heshima kabisa....vilaza sana...wewe unanijua mimi mpaka ..useme nakunywa gongo....kilaza mkubwa wewe...kama umeshidwa kujibu hoja kaa kimya...nimemuliza kadi ya CCM mpaka pm JF..? jibu kama huwezi kaa kimya...badala ya kujibu hoja unaleta mambo ya kijinga jinga hapaWewe ni mtembea na sumu mnywa gongo. Hii thred haikuhusu.
maendeleo gani hayo unayoyazungumzia???Sawa sawa Komredi, maendeleo ya kweli yanapatikana chini ya CCM. Kazi inaonekana.
nani kakwambia mimi chadema?,ccm imeshika dola kuanzia lini na uo uhuru wa mawazo unaouzungumzia tumeanza kuona kuanzia mwaka gani/awam gani??Maendeleo makubwa a ccm ni kukufanya ww Mndengereko uwe huru kimawazo unafkr cdm ingeshika dola yote haya ungeyapata? Ukweli ni kwamba chadema haina uwezo wa kushika dola kwa sababu tu imeweka maslai binafsi na kujifanya inajali wananchi...chama cha fujo,wabinafsi na wababe.. hakiwezi kuongoza nchi ikiwa chenyewe kimeshindwa kujiongoza kwa kuogopa changamoto kitafuta uanachama kwa kila independent mind...
maendeleo gani hayo unayoyazungumzia???
ndio tatizo lenu kila mtu anaewapnga kudhani yupo chadema maendeleo ya kujenga chuo,alafu kuiendesha mnashindwa(udom) walimu hawalipwi pesa zao kwa wakati,wanafunzi hawapati mikopo,maendeleo ya shule nzima kuwa na mwalimu mmoja na still wanafunzi wanafaulu,maendeleo mwl mnawalipa mshahara laki tatu,maendeleo shulee hazina vitabu,vyoo,wala walimu wa kutosha achilia bali wenye uwezo,maendeleo ya kushindwa kupambana na ujangili,rushwa na ufisadi maendeleo tuna gesi,jua,upepo umeme unit moja sh 125 achilia mbali unakatika kila baada ya masaa mawili.?Kwa Macho ya Ki-chadema hutayaona.
Hongera sana comrad kwa maamuzi sahihi. (Sio ya kijuha kama ya kamati kuu ya mtei).
tembelea tawi lolote la ccm karibu na unapoishi upewe kadi yako ya uanachama au uliza ofisi za ccm kata au wilaya. Jisikie upo nyumbani
ndio tatizo lenu kila mtu anaewapnga kudhani yupo chadema maendeleo ya kujenga chuo,alafu kuiendesha mnashindwa(udom) walimu hawalipwi pesa zao kwa wakati,wanafunzi hawapati mikopo,maendeleo ya shule nzima kuwa na mwalimu mmoja na still wanafunzi wanafaulu,maendeleo mwl mnawalipa mshahara laki tatu,maendeleo shulee hazina vitabu,vyoo,wala walimu wa kutosha achilia bali wenye uwezo,maendeleo ya kushindwa kupambana na ujangili,rushwa na ufisadi maendeleo tuna gesi,jua,upepo umeme unit moja sh 125 achilia mbali unakatika kila baada ya masaa mawili.?
nashukuru sana comrade...nimefanya tathmini ya kutosha na tafakari ya muda mrefu ndo nimefikia maamuzi hayo na hakuna wa kunibadili...tushirikiane tuimarishe chama ili wale waandamanaji waone cha mte makune.
Mimi ni mwanaharakati na mchambuzi wa siasa wa siku nyingi tokea nikiwa chuo kikuu cha Dar na sijawahi kuwa na chama chochote cha siasa,ni mmoja kati ya watu waliosimamia ule mgomo uliowezesha kupanda kwa boom toka sh.5000 hadi 7500..baada ya tafakari ya muda mrefu sasa nimefanya maamuzi rasmi naomba macomrades wa CCM mnipokee na nipo tayari na kwa uaminifu kufanya kazi katika chama hichi ambacho naona bado kina leta tumaini kwa wananchi..vijana wenzangu karibuni huku ccm..naomba mni PM viongozi ili nijue nawezaje pata kadi ya ccm..ni mimi mchambuzi na mwanaharakati..naomba mnipokee ccm
Mimi ni mwanaharakati na mchambuzi wa siasa wa siku nyingi tokea nikiwa chuo kikuu cha Dar na sijawahi kuwa na chama chochote cha siasa,ni mmoja kati ya watu waliosimamia ule mgomo uliowezesha kupanda kwa boom toka sh.5000 hadi 7500..baada ya tafakari ya muda mrefu sasa nimefanya maamuzi rasmi naomba macomrades wa CCM mnipokee na nipo tayari na kwa uaminifu kufanya kazi katika chama hichi ambacho naona bado kina leta tumaini kwa wananchi..vijana wenzangu karibuni huku ccm..naomba mni PM viongozi ili nijue nawezaje pata kadi ya ccm..ni mimi mchambuzi na mwanaharakati..naomba mnipokee ccm