Sasa naingia CCM rasmi....nipokeeni

Sasa naingia CCM rasmi....nipokeeni

nani kakwambia mimi chadema?,ccm imeshika dola kuanzia lini na uo uhuru wa mawazo unaouzungumzia tumeanza kuona kuanzia mwaka gani/awam gani??

Uhuru wa mawazo ni haki ya kila mwananchi katika taifa huru refer katiba,hivyo usilishwe sumu,usije hapa jukwaani kwa hoja kwamba,ccm imejenga barabara,hospitali,shule.je waRC wakija hapa nao kujinadi kuwa wamejenga mashule na mahospitali tutasema kuwa kanisa lina maendeleo kushinda serikali?nilisahau kuuliza hivi zile bajaj 400 bado zinafanya kazi?na ile meli mpya kubwa ziwa victoria nipe schedule yake
 
mkuu hatua ya kwanza ya kujua ni kujua hujui na sizani kama ni dhambi kutokujua...nimeuliza ili nipate ambiwa...samahani kama nimekukwaza..

Sizani=sidhani,unadhalilisha UDSM msomi,ukifanikiwa kupata kadi kaendeleze mgomo pale lumumba dau lipande kutoka 7000 hadi 10000,maana kazi ya kushinda humu ni ngumu,halaf bei ya bundle kubwa siku hizi
 
Uhuru wa mawazo ni haki ya kila mwananchi katika taifa huru refer katiba,hivyo usilishwe sumu,usije hapa jukwaani kwa hoja kwamba,ccm imejenga barabara,hospitali,shule.je waRC wakija hapa nao kujinadi kuwa wamejenga mashule na mahospitali tutasema kuwa kanisa lina maendeleo kushinda serikali?nilisahau kuuliza hivi zile bajaj 400 bado zinafanya kazi?na ile meli mpya kubwa ziwa victoria nipe schedule yake
umenijibu bila ya kuelewa comment yangu
 
your most wellcome chadema hawataki wasomi kama wewe
Nimesikia watu wanasema Chadema wanataka wasomi walioelimika siyowasomi ambao hawajelimika.....hivi unamjua Prof. Kapuya na siku hizi anajishughulisha na nini?
 
Back
Top Bottom