ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,280
- 5,987
hadi ujitangaze, ''chema chajiuza na kibaya ....''
Biashara matangazo weee. kalia methali za haraka haraka haina baraka.
hadi ujitangaze, ''chema chajiuza na kibaya ....''
Ana akili timamu huyu, hanywi gongo kama wewe na wenzakoBuku7 FC mpokeeni mchezaji mpya huyo!
Ccm itaongoza nchi hii milele. Amefanya uamuzi sahihi kujiunga na chama dume la mbeguunataka ulaji tu...jiandae kupigwa mawe 2015
Wewe nenda ukanywe gongo huko huna akili ya kuongea na mwanaccm mpya. Hanywi gongo huyuMtu makini hufanya jambo kwa faida na sio kutafuta sifa zisizo na faida ambazo humpelekea kuonekana kikaragosi kwa wenye nazo.
Hamwagii watu tindikalinenda mwanakwenda ukaendeleze uanaharakati wa kifisadi
Hongera sana comrad kwa maamuzi sahihi. (Sio ya kijuha kama ya kamati kuu ya mtei).
tembelea tawi lolote la ccm karibu na unapoishi upewe kadi yako ya uanachama au uliza ofisi za ccm kata au wilaya. Jisikie upo nyumbani
Hamwagii watu tindikali
hapori wake za watu
hana mahawara/sio king muswati
halishi watu sumu
hanywi gongo
sio mhuni
kwanini asijiunge na ccm?
Hamwagii watu tindikali
hapori wake za watu
hana mahawara/sio king muswati
halishi watu sumu
hanywi gongo
sio mhuni
kwanini asijiunge na ccm?
heshimu maono yako jipange kuwatumikia watu endapo utapata nafasi ya kuwatumikia watu.
nashukuru sana comrade...tufanye kazi
Sawa sawa Komredi, maendeleo ya kweli yanapatikana chini ya CCM. Kazi inaonekana.