Sasa naingia CCM rasmi....nipokeeni

Sasa naingia CCM rasmi....nipokeeni

naongelea chama ni si mtu...then huwa na deal sana na habari zilizothibitishwa na za kusikia...kingine huo ushetani hata vyama vingine upo sema cha msingi kufuata taratibu na katiba ya chama husika...karibu ccm ili ujue ukweli mana naona unaishi mno kwa kusikia..

heri tunao sikia mema na kuyafuata,kuliko unayeona na kuthibitisha uovu na ukakubali kuutumikia bila hofu ya "allah"


kwa taarifa ya.ko kijana subiri kacheo ka ukuw.adi kipindi cha mikutano yao ya kugawa rasilimali za taifa,kiz.ota dodoma
 
Eti mwanaharakati aisee kijana kweli ulikuwa umeingilia fani za watu,


uliona wapi "freedom figther" akawa rafiki wa serikali? Rejea vitabu mbalimbali utajitambua tu.
 
Yaani umeridhishwa kabisa na kuoza kwa elimu ya tanzania,reli kufa,mashamba ya mazao ya biashara kama katani,kahawa,korosho,pamba kufa kutokana na bei zisizo na tija kwa mkulima!!!ajira yako mpaka sasa ni ipi?
kijana umepotea hujui kuwa ccm ni ya familia 7
 
Kama umeona jehanamu ni bora kuliko peponi basi we nenda.

unauhakika gani huko ulipo ni peponi...je wewe ni nani kumpangia mtu maisha ya kuishi..na je unauhakika gani huku nilipo ni jehanamu...ndo mana sikujiunga uko tatizo mnashindwa kureason hata mambo madogo..
 
Karibuni sana ccm macomrade....nawaakikishia ccm inazamira hai ya kuwaletea watanzania maendeleo...fanyeni maamuzi mapema
 
Njaa inaweza kumfanya mtu ale kinyesi pasi na kusikia harufu kali ya hicho kinyesi. Njaa mbaya sana. Wewe ndo uliigomea ccm leo unajikimbiza kwendako??? Una fikra mgando, kaendelee kuzigandisha huko kwa mafisadi.
 
Njaa inaweza kumfanya mtu ale kinyesi pasi na kusikia harufu kali ya hicho kinyesi. Njaa mbaya sana. Wewe ndo uliigomea ccm leo unajikimbiza kwendako??? Una fikra mgando, kaendelee kuzigandisha huko kwa mafisadi.

niligomea serikali na kwakuwa serikali ya CCM ni sikivu basi ela ilipanda hadi 7500 leo hii vijana wanafurahi...hakuna chama ckivu kama CCM
 
Usomi up unaouzungzia?,au unaamin usomi n kupinga ukweli?achana na fikra mgando
 
A cha mzaha tutakuwa name vyama bingo visivyo na dira wala Hui c wakati was kumchagulia MTU chama.ccm daima
 
Hongera sana comrad kwa maamuzi sahihi. (Sio ya kijuha kama ya kamati kuu ya mtei).
tembelea tawi lolote la ccm karibu na unapoishi upewe kadi yako ya uanachama au uliza ofisi za ccm kata au wilaya. Jisikie upo nyumbani

Anawadhihaki tu,angekuwa msomi kweli na mwanaharakati,asingekuja kuuliza kadi ya uanachama JF,otherwise anaweza kuwa mmojawapo wa wale wa buku 7,pale mitaa ya kati
 
inaonekana sana na huo ndo ukweli maendeleo yapo makubwa binafsi natokea mbinga na kwakweli serikali chini chama kimejitahidi kutengeneza barabara tena kwa kiwango cha rami toka mbinga hadi songea hakika uku ndipo kwenye tumaini kwa watanzania co kuandamana masaa yote..

Hapo hamna msomi,msomi anayesifia serikali kujenga barabara,wakati ndo wajibu wake kweli huu ugonjwa wa mgando wa mawazo unatumaliza watanzania.kweli umechagua chama sahihi cha kwenda!
 
Hata shetani kuna wanao yaona mazuri yake. Ni kipaji nacho. Nenda salama ndugu.
 
Back
Top Bottom