Elections 2015 Sasa naanza kupata picha kwamba Apson Mwang'onda yupo kwa Lowassa kikazi zaidi...

Mi naona kila siku watu wanatafuna maneno yao wenyewe lakini Laigwanan anachanja mbuga. Kwa vile sehemu kubwa ya NEC ya CCM ilikuwa Arusha jana sioni uwezekano wa kutopitishwa kwa kuwa wanaCCM ni watu wa kuangalia upepo wa mafanikio ulipo na wanaenda huko. Kwa jeuri ya fedha aliyonayo EL na desturi ya CCM ilivyo, EL is now unstoppable. Only UKAWA to stop him
 
Msimpe sifa Apson, ni mtu wa kawaida na mjinga kabisa, hakuna chochote cha maana anaweza kufanya cha kijasusi kwa sasa, yupo kwa Lowassa kwa makusudi ya kimaslahi, analipwa na Lowassa na anajua atafaidi zaidi kama Lowassa atakuwa rais.
 
Its over!

Hakuna fisadi atakanyaga nyumba yetu takatifu.... Tanzania njema kuzaliwa ni lazima, its a decree...
 
Mi naona kila siku watu wanatafuna maneno yao wenyewe lakini Laigwanan anachanja mbuga. Kwa vile sehemu kubwa ya NEC ya CCM ilikuwa Arusha jana sioni uwezekano wa kutopitishwa kwa kuwa wanaCCM ni watu wa kuangalia upepo wa mafanikio ulipo na wanaenda huko. Kwa jeuri ya fedha aliyonayo EL na desturi ya CCM ilivyo, EL is now unstoppable. Only UKAWA to stop him

Tazama CC inayopitisha majina halafu utajua kama huyu bwana kapita au laa..,like it or not, wafanya maamuzi halisi CCM walijua hii siku itafika wakajizatiti.

huu mtifuano bado mmbichi sana. at the end of the day,this is very good news for UKAWA.
 
Unasahau kuwa EL ni miongoni mwao tena wa ndani Zaidi ... Kanisa Katoliki mikakati yake inajulikana na tayari Pengo anapigwa na wengi kwa kuonekana anaegemea upande wa ndugu yake Pinda ... Hawa watu wa Vatikan Pinda, Membe, Nchemba, wassira, Mwandosya, Mwakyembe, Magufuli, Sumaye et al wanajulikana syndicate yao na haihusiani na TISShata chembe... Ndani ya kitengo kina watu wenye weledi mpana ambao hautawaliwi na emotions za kibinaadamu Zaidi ya facts ambazo Kingunge ameziainisha kwa niaba ya JK ...

Pole the game is over!
 
Tazama CC inayopitisha majina halafu utajua kama huyu bwana kapita au laa..,like it or not, wafanya maamuzi halisi CCM walijua hii siku itafika wakajizatiti.

huu mtifuano bado mmbichi sana. at the end of the day,this is very good news for UKAWA.

Kitu kimoja ambacho watu hawajui, au wanapotosha kwa makusudi ni nguvu ya NEC. NEC ndio inayochagua mwenyekiti, NEC inaweza kusema hatuna imani na mwenyekiti na atang`oka. Wataenda na mkwara huo kwa vile EL ashawapata tayari, kauli mbiu itakuwa kata jina la Lowassa tukuvue uenyekiti.
 
Kitu kimoja ambacho watu hawajui, au wanapotosha kwa makusudi ni nguvu ya NEC. NEC ndio inayochagua mwenyekiti, NEC inaweza kusema hatuna imani na mwenyekiti na atang`oka. Wataenda na mkwara huo kwa vile EL ashawapata tayari, kauli mbiu itakuwa kata jina la Lowassa tukuvue uenyekiti.

Naona mnaanza kuleta option D na C, mshajua option A na B ni ndoto.

hakuna mtu wa kumtoa JK kwenye uenyekiti wa CCM pale, msitegemee kina Pinda, Membe,mwakyembe, Sitta, Makongoro na CCM heavyweight wengine wakamtazama tu Lowasa.

Lowassa may be rich, but in terms of muscle inside CCM he is no bigger than the other folks combined.he knows that.
 
Namsikitia EL kwa kuwepo serikalini kwa zaidi ya miaka 30 thelathini lakini akashindwa kufahamu jinsi akina Apson wanavyofanya kazi na muundo wa kampuni yao ukoje. Kazi hiyo ya kumpoteza njia na kumpeleka asikokuhitaji ilianza mara tu JK alipoapishwa! Chezea kampuni wewe! Rais kwa mtizamo wangu japo simkubali ni yule ambaye tayari ana endorsement ya Kanisa Katoliki (tafuta picha za Cardinali Pengo wakati sherehe za Pasaka mwaka huu na zile Askofu Valentino Mokiwa kwenye maadhimisho ya miaka 100 ya Kanisa la Anglikani Tanzania). Halafu unganisha na dots zingine.

Acheni kuzungumza kwa mafumbo. Sio wote tulioiona hiyo picha ya Pengo na huyo mnayeogopa kumtaja. Kwani sura yake si ipo kwenye picha, sasa ugumu wa kumtaja unatoka wapi?

Tiba
 
kwa mawazo yangu sidhani kama anategemea ccm tu. miaka yote amekuwa anatafuta watu na ameshawapate. Inawezekana ccm ni option namba moja. Wakimkataa sidhani kama watakwamisha safari yake ya matumaini. Tusubiri tuone.
kuna issue ya mgombea binafsi ilisikika mdomoni mwake...
 
Tazama CC inayopitisha majina halafu utajua kama huyu bwana kapita au laa..,like it or not, wafanya maamuzi halisi CCM walijua hii siku itafika wakajizatiti.

huu mtifuano bado mmbichi sana. at the end of the day,this is very good news for UKAWA.


Mwaka huu watasema yote but at least we warned them kwamba... Tia maji tia maji.....


God is still in His throne, some thought they can do any how; every body should expect unexpected.... Its done three years a go... Some people wapo kutumiza decree wengine hata bila kujua they are on course; Elija was a man like us but he did stop rain for two and half years.

Nipo nimesimama na miguu yangu nimeikita chini to destroy then to build... In the name of the highest, the blessed one, lord of lord, I am who I am, ancient of days, battle man, Jesus Christ of Nazareth!

I will never rest until its all manifested; to Him be glory and honor, amen and amen!
 
Upo wrong, apson yupo real na lowassa. Kwenye hilo kundi hakuna mjinga hapo. Hakuna mjinga ambae angeweza kufika hapo walipofika kila mmoja wao kimaisha, kuanzia lowassa, rostam na mwang'onda. Wanajua wanachotaka, na watakipata
 
Too late to catch the train.Tatizo nyie the so called usalama WA taifa,mnatuchanganya Sana.
 
Naona mnaanza kuleta option D na C, mshajua option A na B ni ndoto.

hakuna mtu wa kumtoa JK kwenye uenyekiti wa CCM pale, msitegemee kina Pinda, Membe,mwakyembe, Sitta, Makongoro na CCM heavyweight wengine wakamtazama tu Lowasa.

Lowassa may be rich, but in terms of muscle inside CCM he is no bigger than the other folks combined.he knows that.

Mkuu nasikitika kuwa siasa za CCM hujazijua vizuri. Makongoro kwa kumponda Lowassa walimuadhibu kwa kumvua uenyekiti CCM mkoa wa Mara. Mwakyembe ni fisadi wa mabehewa ya treni, Sitta wananchi wamemchoka alilazimisha katiba hela ikapotea na hata kura ya maoni hakuna et al.

Siasa za CCM ni maslahi zaidi na kufuata mkumbo na fedha. Bandwagon and money politics. JK is now a past ndani ya CCM, ukimshabikia hakuna future kabakiza miezi minne. Lowassa amesomea sanaa, jana kadhihirisha, kauli ya JK wameimanipulate. Kingunge jana kasema EL anakubalika ndani na nje ya chama. Umati wa jana ulimaanisha anakubalika ndani na nje ya chama. Kuna ile kauli aliirudia jana mara tano EL "Mapinduzi Daima" ilikuwa maalum kwa wanev wa Zenji
 
kuna issue ya mgombea binafsi ilisikika mdomoni mwake...

Kwani kuwa mgombea binafsi ni rahisi hivyo? Kama Chama tawala kimekukataa, unakuwa na wakati mgumu sana. Ataishia ACT. Lakini hata huko hataruhusiwa kugombea Urais. Yeye atulie tu...
 
Nimeanza kuunganisha dots na kwa mbaali naiona picha kuwa kitendo cha Jasusi mkuu mstaafu wa nchi yetu kujiunga na kambi ya Lowasa kilikua ni cha kimkakati zaidi. Kwa wanaomfajamu Apson na utendaji wake tulijiuliza sana lakini tulikosa majibu.

Leo hii mara baada ya Edward kumaliza kufanya kampeni (Ninasisitiza kuwa ni kampeni na si kutangaza nia) yake pale uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha ndipo nikazinduka na kutambua kuwa Apson alikua 'under cover' akiwa na jukumu maalum la kumdhoofisha Edward and Kingunge nailed it. Hili suala la magenge ya wasaka madaraka yaliyumbisha sana idara yetu ya usalama wa taifa kitu kilichopelekea idara hii kushutumiwa sana mitandaoni pia na makundi mbalimbali ya kijamii.

Ilikua si kazi rahisi kulimudu hili genge maana lilishajijenga vya kutosha na namna pekee ya kulisimamisha ilikua ni lazima the big man aingie in the war front and to begin with ilibidi ku step down then kujipenyeza ndani ya kambi hii ambapo na ku gain trust. Seems lengo la yeye kwenda front ilikua ni kulinda nguvu kazi ambazo idara hii ilikua ikizipoteza mara tu magenge haya yalipooa maslahi yao yanahatarishwa, (kujua zaidi unaweza ukarejea kingo za sakafu za mzee Kapinga na Daudi Mwakawago and others of a like zilipoishia).

Kwa kuwa magenge haya yanawakilisha maslahi mapana zaidi ya mataifa ya kigeni yanayoangalia namna ya kubena rasilimali zetu na yenye mitandao ya nguvu ya kijasusi, seems yali smell something fishy with Apson na hapo ndipo tukatangaziwa the return of The Kingmaker ambapo tukasikia kuwa Apson anawekwa kando (thou it was too late) kimtindo and the Kingmaker took over.

Kwa speech ya Edward na kila kitu kilichoendelea pale na kinachoendelea ndani ya kambi yake I can draw the conclusion kwamba the Game is Over. Ninaanza kupata hisia kuwa kutakuwa na transition kubwa zaidi mwaka huu.

Tanzania inarudi katika ubora wake, this is my country, I belong here. Hakika moyo wangu una furaha sana kuliko wakati wowote ndani ya miaka hii kumi. Si jambo dogo kuachia nafasi kubwa kama ile katika ofisi nyeti wakati muda ukiwa unamruhusu na kuamua kwenda under cover, hakika napata hisia idara yetu bado ingaki hai na nguvu na makali yake.

NB: Hizi ni hisia zangu baada ya kuunganisha dots kadhaa. Hazina uhusiano na taarifa yoyote rasmi. Unaweza ukawaza tofauti na kuwasilisha au kuchangia kwa namna yako mimi sitakuwa na cha kuongeza wala kupunguza.

Kama hizi hisia zako ni za kweli hata mimi naanza kupata wasiwasi...hivi mkuu mstaafu alikuwepo arusha kwenye kutangaza nia???
 
Mkuu nimekuelewa sana,binafsi nimejiuliza ila sikupata majbu murua kwamba ukilinganisha gharama ya maandalizi ya mkutano mbona haiendani na kinachotokea mkutanoni? relevance haikuwepo A-Z,na impact ya hili italicost kundi la Lowassa.Hata suala la kumu reveal mama Tibaijuka pale stejini halikuwa na credit za kuendelea kumharibia jamaa,watu ambao jamii inawatuhumu kwa maovu wewe ndo marafiki zako,tena mchana kweupe? EL is down
 
Back
Top Bottom