Fumbo la Pasaka
Member
- Apr 6, 2015
- 50
- 45
Kwa wanaoelewa jinsi "kampuni " (ninyi mnaita usalama) inavyofanya kazi zake ukweli uko wazi kuwa alikuwa kwenye safari asiyoijua. Kazi imeshaisha na siku rais wa nchi anaapishwa kazi ya ku-groom mtu atakayemrithi itaanza rasmi. Hebu unganisheni dots hizi:
1. Kwa nini sura zenye kuhitaji kusafishwa na dodoki ndio zinamzunguka EL? JK kishasema hawahitaji mtu mwenye makando kando!
2. Pengo juzi wakati wa sherehe za pasaka alipiga picha na jamaa mmoja mbele ya Lango kuu la Mt. Joseph. Mnadhani ilikuwa ajali?
3. Jamaa huyo kasema juzi atasema nia yake akiwa kwao. Kule alikoanzia safari ya kwenda sekondari na baadaye Kujiunga na kampuni. Mnadhani alitamka jina kampuni kwa bahati mbaya?
1. Kwa nini sura zenye kuhitaji kusafishwa na dodoki ndio zinamzunguka EL? JK kishasema hawahitaji mtu mwenye makando kando!
2. Pengo juzi wakati wa sherehe za pasaka alipiga picha na jamaa mmoja mbele ya Lango kuu la Mt. Joseph. Mnadhani ilikuwa ajali?
3. Jamaa huyo kasema juzi atasema nia yake akiwa kwao. Kule alikoanzia safari ya kwenda sekondari na baadaye Kujiunga na kampuni. Mnadhani alitamka jina kampuni kwa bahati mbaya?