sasa mtaani ni kata funua tu!

sasa mtaani ni kata funua tu!

Cicadulina

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
1,006
Reaction score
2,431
1597580988834.png
 
Washakaji wanaodata wanaishushia hadhi ndumu ila ndumu haina tatizo na mtu.
Dah! Sitaisahau siku ya kwanza kuivuta nikaenda kuangalia TV sasa kila nikiangalia mtangazaji anavyotangaza taarifa mm nikawa nacheka hasa.. Mpaka machozi yananitoka yaani mpaka leo nikiwaza kilichokuwa kinanichekesha hakipo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom