Sasa Mizengwe ni zaidi ya ze Comedy

Sasa Mizengwe ni zaidi ya ze Comedy

Hawa wote wana majumba makali wana magari ya kutembelea lakini hawana show off za kijinga

Tatizo tukisha wasifia wanaharibu

Nafarijika kama uliloongea una uhakika nalo, maana huwa nawaonea huruma kama sanaa haiwalipi
 
Mzee kijana ni noma [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hawa na wale akina cha uroho wa EATV ndio wakali wa comedy.
Wengine makanjanja tu.
ulimuona jana cha uroho anaongelea fursa kwa vijana.? perfume ya pilau........alinivunja mbavu hatari...
 
Hawa Jamaa wanakuja vizuri na michezo yao inachekesha + mafunzo

Mfano mchezo Wao wa leo jumapili kwa mlioshuhudia Wale akina Masanja wamebaki umaarufu tu,so kama walivyokuaga Eatv na pia Wanakosa reality hasa kwenye suala la kuigiza sehemu ya jinsia -ke,Kwa Sie wengine joti keshatuchosha na Yale mawigi na matiti.

Hongereni Mizengwe mpo vizuri kazeni buti pia elekezeni wapi tuwaletee ushauri kuzidi kujiboresha.
Wanajitahidi sana
 
they are smart,na wanatyumia muda mchache sana lakin wanafanya kitu poa na ni comedy.mzeee sumaku balaaaa
 
wako vizuri sema ya jana ilikua JUU NYANGU au ni typing error JUU YANGU...!!???
 
Back
Top Bottom