byeyombo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2015
- 3,925
- 5,193
Duh!! Umetoka juzi kwa msamaha Wa raisi nini?Hivi original comed ya kina masanja inaonyeshwa chanel gani cku hizi nilikua naiyonaga tbc lakini sasa siioni tena
Duh!! Umetoka juzi kwa msamaha Wa raisi nini?Hivi original comed ya kina masanja inaonyeshwa chanel gani cku hizi nilikua naiyonaga tbc lakini sasa siioni tena
Mzee kijana ni nomaHawa wajamaa ni wakali kinyama na hawana muda wa kupoteza kujisifusifu ni commedian asilia hasa yule mzee kijana mwenye mvi na yule amabaye yupo siriaz![]()
Yule mze mwembamba mwenye mvi anachekeshaga hatarHawa wajamaa ni wakali kinyama na hawana muda wa kupoteza kujisifusifu ni commedian asilia hasa yule mzee kijana mwenye mvi na yule amabaye yupo siriaz![]()
Mi pale nampendaga tu cha uroho, lazma mtu uchekejambo na vijambo ni kiboko yao...
Upo sahihi sana, the rest(futuhi, orijino comedy, ze comedy) wameshindwa kutofautisha upuuzi/utoto na comedy wapo ili mradi walishakuwepo na kwa sababu wana nafasi kwenye ratiba.Hawa Jamaa wanakuja vizuri na michezo yao inachekesha + mafunzo
Mfano mchezo Wao wa leo jumapili kwa mlioshuhudia Wale akina Masanja wamebaki umaarufu tu,so kama walivyokuaga Eatv na pia Wanakosa reality hasa kwenye suala la kuigiza sehemu ya jinsia -ke,Kwa Sie wengine joti keshatuchosha na Yale mawigi na matiti.
Hongereni Mizengwe mpo vizuri kazeni buti pia elekezeni wapi tuwaletee ushauri kuzidi kujiboresha.
mkuu hivi kuna zembwela mule?Safi sana Zembwela kaza buti
mkuu kizuri siku zote huwa akifanywi kwa mda mrefuHawa jamaa hawajawah kukosea sema wana muda mfupi sana wa vipind vyao wangeongezewa dk nawapenda sana