Sasa mbona ananisumbua?

Sasa mbona ananisumbua?

Mfanya kazi za ndani kweli anaweza kuingia jukwaa la GT?
 
Mfanya kazi za ndani kweli anaweza kuingia jukwaa la GT?
Sio wote wanaofanya kazi za ndani ni wasiosoma au STD 7 wengine wamesoma mpaka diploma au degree ila ajira hamna wamejiongeza na hapo kasema anafanya kazi Oman mara nyingi wanafanya kwenye migahawa au hotel hata za ndani ila malipo sio kama bongo elfu 40
 
Tafuta mume mwingine akuoe hilo ndo suluhisho la sivyo lazima arudie kiporo chake, tena kiporo cha kisanvu na wali...au jiporo la baridi la wali maharagwe
Sawa
 
Sio wote wanaofanya kazi za ndani ni wasiosoma au STD 7 wengine wamesoma mpaka diploma au degree ila ajira hamna wamejiongeza na hapo kasema anafanya kazi Oman mara nyingi wanafanya kwenye migahawa au hotel hata za ndani ila malipo sio kama bongo elfu 40
Ahsante kwa kunisaidia mm nilimaliza chuo na nilisoma web programming and graphics designing ila nilifeli kutokana na kutoshughulikia masomo, ninaongea English fasaha na ninaijua vizur sana computer..
 
Hahahaha
Ujue huyu sista mi naamini kabsa alikuwa ana consider kurudi, kwa sababu asinge omba ushauri.

Ila kina mwakyembe wa kuzuia ndoa wamekuwa wengi ndio wamzidia.
Ya Mungu mengi wamwache akaolewe tena

Kwakweli, kitu kama hukipi nafasi haina haja ya kuomba ushauri.
 
Sio wote wanaofanya kazi za ndani ni wasiosoma au STD 7 wengine wamesoma mpaka diploma au degree ila ajira hamna wamejiongeza na hapo kasema anafanya kazi Oman mara nyingi wanafanya kwenye migahawa au hotel hata za ndani ila malipo sio kama bongo elfu 40
Mm hapa nalipwa hela ndefu now kwa kwetu labda anaenifikia ni mkurugenz Mana nishakuwa wa miaka mingi na Nina experience..
 
Back
Top Bottom