kweli Dada imetoka moyoni ujue nakujuaNenda Mwambiee namsalimia
Jamani, si ni salamu tuu aukweli Dada imetoka moyoni ujue nakujua
sio salamu tu na mengine tu yale yale ya siku zoteJamani, si ni salamu tuu au
HahahaUsiwe unakariri maisha, kila mtu na maisha yake
Sio wote wanaofanya kazi za ndani ni wasiosoma au STD 7 wengine wamesoma mpaka diploma au degree ila ajira hamna wamejiongeza na hapo kasema anafanya kazi Oman mara nyingi wanafanya kwenye migahawa au hotel hata za ndani ila malipo sio kama bongo elfu 40Mfanya kazi za ndani kweli anaweza kuingia jukwaa la GT?
Mungu atamnusuru inshallahYeye akazane na Oman huku mtoto anajifunza kuua
Mie nimejifunza kutokulazimisha kuolewa na mwanaume asie na nia.
KijanaWewe kijana au binti?
Kwani mm nimemuomba munguMungu atakujibu
SawaTafuta mume mwingine akuoe hilo ndo suluhisho la sivyo lazima arudie kiporo chake, tena kiporo cha kisanvu na wali...au jiporo la baridi la wali maharagwe
Kazi Ni kazi tuMfanya kazi za ndani kweli anaweza kuingia jukwaa la GT?
kweli Dada imetoka moyoni ujue nakujua
Ahsante kwa kunisaidia mm nilimaliza chuo na nilisoma web programming and graphics designing ila nilifeli kutokana na kutoshughulikia masomo, ninaongea English fasaha na ninaijua vizur sana computer..Sio wote wanaofanya kazi za ndani ni wasiosoma au STD 7 wengine wamesoma mpaka diploma au degree ila ajira hamna wamejiongeza na hapo kasema anafanya kazi Oman mara nyingi wanafanya kwenye migahawa au hotel hata za ndani ila malipo sio kama bongo elfu 40
Hahahaha
Ujue huyu sista mi naamini kabsa alikuwa ana consider kurudi, kwa sababu asinge omba ushauri.
Ila kina mwakyembe wa kuzuia ndoa wamekuwa wengi ndio wamzidia.
Ya Mungu mengi wamwache akaolewe tena
Mm hapa nalipwa hela ndefu now kwa kwetu labda anaenifikia ni mkurugenz Mana nishakuwa wa miaka mingi na Nina experience..Sio wote wanaofanya kazi za ndani ni wasiosoma au STD 7 wengine wamesoma mpaka diploma au degree ila ajira hamna wamejiongeza na hapo kasema anafanya kazi Oman mara nyingi wanafanya kwenye migahawa au hotel hata za ndani ila malipo sio kama bongo elfu 40
Unanijua wapi???Kazi Ni kazi tu
Nilijua lazima ukija u pige point nzuri kama hii![]()
![]()
![]()
![]()
Kwakweli, kitu kama hukipi nafasi haina haja ya kuomba ushauri.
Yaani mtoto uliemzaa mwenyewe akupangie Kweli malezi ya sikuhiziSiwez kurud mkuu tatizo mtt nitakaa hivi mpk ln na yy hataki niolewe na mwanaume mwengne nampenda sana mwanangu
Yule anajua kukasirika dakika 0sio salamu tu na mengine tu yale yale ya siku zote