Sasa mbona ananisumbua?

Sasa mbona ananisumbua?

Yaan eti anaomba ushauri kuhusu hili swala? hivi una akili kweli wewe?

kama unampenda Shauri yako kwa yatakayokupata...utajijua mwenyewe...mimi nilidhani una akili japo kidogo kumbe majanga tu??

Kwani ukimpa huyo mtoto wewe utakuwaje? kama ni mtoto mpe ila kama anataka kutumia gia ya mtoto mrudiane Shauri yako kwa lolote.....


Achana naye,
Ahsante
 
Tafuta mume mwingine akuoe hilo ndo suluhisho la sivyo lazima arudie kiporo chake, tena kiporo cha kisanvu na wali...au jiporo la baridi la wali maharagwe
 
Back
Top Bottom