Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Mama ndo hatakii, labda kama ana kichwa cha panzi ndo akubaliHahaha
Ndio maana nimesema hiyo tumuachie baba na mama, wao wakiona kuna umuhimu warudiana siye tuka pige pilau tuwaache na maisha yao.