Sasa mbona ananisumbua?

Sasa mbona ananisumbua?

Kama huo ndo msimamo wako, huu uzi wa nini sasa
Tatizo linakuja kwa mtoto babaake anaenda kumtia maneno na mm niko mbali so maneno yanamuingia mpk anaanza kunichukia
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mamaa wakati wenzako wanazaa watoto wewe umezaa jambazi. Mwanao wa chini ya miaka kumi anatishia kuua mtu? Heee! Huyo naye atakutesa kama babaake yaelekea ni damu yake kweli.
Anaona movies kaniambia akija baba mwengine namuua nampiga pistol au naeka sumu kwenye chakula chake
 
achana na huyo falla aiseee..usitumie hisia kuamua tumia akili

be strong
 
Kwa nn mda huu lkn hajabadlika tangu zaman?
Maisha ndio yalivo kuna time huwa watu wana change, na wanachange sio kwa muda tunao taka sisi ila kwa muda wanao taka wao na kwa matukio wanayo kutana nao wao.
So msikilize, mchunguze kwa kuda mrefu then amua.
Usijizuie kama unahisi una mfeel na unadhan anaweza change.
 
no retreat no surrender.....songa mbele na maisha yako ....fanya kama ilikuwa story iv halafu kitabu kikaungua moto ko hakuna kumbukumbu zilizobaki kickwan mwako...ila nyie wanawake amuelewekaki utakuta si tunabwabwaja hapa mara kesho umerudiana nae...kazi kwako sasa!!!! kwa maumivu hayo usirudi nyuma
Ahsante
 
Kamchukulie RB shenzi huyo hawezi kukunyanyasa namna ile afu et aje kukulazimisha kurudiana tena kwa vitisho. Acha UFALA
 
UMENIWAHI MKUU bila kumung'unya maneno mtu huyo ni muuaji kwako ukimrudia haki ya Mungu anakuua kama si kukufirisi mali zako...hana kingine anachokihitaji kwako zaidi ya mali zako...kuhusu mtoto mwambie amfuate baba ake wewe si ndio uliye mzaa kwanini mtoto wako akushinde maarifa...?
Ahsante
 
Maisha ndio yalivo kuna time huwa watu wana change, na wanachange sio kwa muda tunao taka sisi ila kwa muda wanao taka wao na kwa matukio wanayo kutana nao wao.
So msikilize, mchunguze kwa kuda mrefu then amua.
Usijizuie kama unahisi una mfeel na unadhan anaweza change.
Siwez Mana na huko keshazaa pia so atakuja kunizonga tu..
 
Kwanza pole sana na matatizo makubwa yaliyokukuta. Pili samahani kwa lugha yangu kali. Utafanya upumbavu wa hali ya juu kama ukiamua kurudiana na huyu shetani. Sijui hata kwanini unapoteza muda wako kuongea naye. Jitambue bi dada jithamini, jipende na ujiheshimu. Mbona kuna wanaume wengi tu wa kumwaga!? Kwanini urudi tena kwa huyu shetani!? Kwa sababu sasa una Mali!?

Ahsante sana
 
Back
Top Bottom