Sasa mbona ananisumbua?

Sasa mbona ananisumbua?

Mm Ni kijana mwenzenu, Nina utata kidogo ktk maisha yangu naomba mawazo yenu.

Nilipata kuwa na mahusiano na kijana mwenzangu wakat tukiwa chuo. Mapenz yetu yalikuwa matam tu tulipendana sana, mpk ilipofika hatua ya kumaliza chuo yule kijana akaenda kwao na mm nikawa nipo tu home.

Kwa vile kila mmoja alikua anakaa mbali na mwenzie na mm nilikuwa cwez kukaa mbali nae nikaamua kumshauri aje nyumbn kuniposa anioe. Yaani kumuambia suala la ndoa tu akawa km nimemfukuza.

Nikafanya jitihada nikamtafuta nikamuambia lazima anioe Mana alishakula tunda langu, ikawa ugomvi hataki mpk wakaingia wazee akalazimishwa akalazimishwa ndo akakubali kunioa.

Baada ya kunioa nilijuta Bora ningekaa nyumbani nikatafuta issue nikafanya , yn mume alikuwa ananipiga, ananisimbulia, ananisimanga kila baya ananifanyia. Huduma Hana ukimuambia anasema kachukue kwenu me sikutak.

Dah nikastahmili nikapata mimba, nilipopata tu mimba mume wangu alizid vituko harud kabisa cjui analala wap. Siku Moja akaniambia nenda kwenu me nataka kusafr, apo nilikuwa na mimba 6 months.

Kumbe yule bwana hakusafr Wala nn anaonekana mjini anadunda nikaja kusikia keshaoa mke mwengine kwangu hapiti kabisa. Nikimpgia cm hapokei Hana mawasiliano na mm iliniuma sana. Kwa uchungu na hacra nikazaa nikiwa na mimba miez Saba.

Baada ya kujifungua niliumwa sana na mtoto pia alikua mgonjwa, babaake alibadlisha namba na tulipokuwa tunakaa akahama.

Ndipo nilipoenda kwao kumuulizia lkn nashangaa ndugu zake walinidharau na kunicheka Kisha wakanipa waliosema mzigo Wangu ambayo ilikua Ni talaka.
Mume wangu aliniacha ktk Hali hii ngumu mm naumwa na mtt anaumwa kwa kweli nilikua namuhitaji nikaondoka nikashukuru mungu.

Kwa kwel nilipoteza muelekeo nikakosa dira nikijiangalia baba yangu alishakufa, mama nae mtu mzima Hana kitu. Nilisomeshwa kwa msaada wa jumuia fulan lkn nilishindwa kufanya vizur kutokana na mapenz nilijuta na kulia sana.

Sikua na msaada nikawa nauza maandazi kwa ajili ya kujikimu mm na mtoto na mama pia.

Siku Moja katika pita pita zangu nikakutana na rafiki yangu wa zamani alinishangaa kuona nilivyochoka akaniuliza yamenikuta yepi? Nikamuhadithia akanihurumia sana nilishaanza kukonga wakati nilikuwa na 23 years old.

Rafiki yangu akaniuliza unataka kufanya kaz za ndani Oman nikamuambia ndio, akanipeleka kwa mtu fulan hivi akaniambia yy atanifanyia Safari. Bac nikaondoka Tanzania nikaenda Oman mwanangu akiwa na miaka 3 na alikua anaendelea vizur japo alikua mwembamba sana.

Nashkuru mungu kumbe hii ilikua ndio njia yangu ya kunifungulia milango ya kheri na barka, nikawa napata pesa Sasa natuma nyumbani. Niliporud nikakuta nyumba yetu ishajengwa vizur na milango ya maduka miwili. Sikutosheka nikarud Tena Oman tukafungua biashara pale home duka Moja la vyakula na Moja stationaries Kuna ndugu zangu wanauza pamoja na mama. Niliporud Tena nikajenga nyumba yangu na biashara ikakua nimekod mlango mjini nikaweka nguo za kike. Huu mwaka wa tano nipo Oman nataka nikirud next year iwe ndo mwisho sirud ntakuwa na kila kitu nilichokuwa nahitaji.

Tatizo Sasa yule kijana aliyeniacha kwa dharau akanifanya nichukie wanaume wote amepata habari zangu na mtoto kampa namba yangu ananipigia kila sekunde ananiambia mke wangu turudiane tulee mtoto wetu. Jaman na mtoto nae anasema nirud kwa babaake km sitak nikiolewa na mtu mwengine atamuua.

Nipo njia panda nampenda sana mwanangu Ila siko tayar kurudiana na yule babaake nifanyeje jamani!!
kuua awez kama huamin njoo uolewe na mm kama atathubutu kukusumbua
all in all angalia maisha yako huyo anakutaka nw coz una mali na mkirudiana kuna kila dalili akazitumbu ovyo mali zako na mkarudi mlipotoka
move on learn from your mistake
 
kuua awez kama huamin njoo uolewe na mm kama atathubutu kukusumbua
all in all angalia maisha yako huyo anakutaka nw coz una mali na mkirudiana kuna kila dalili akazitumbu ovyo mali zako na mkarudi mlipotoka
move on learn from your mistake
Ahsante sana
 
Hamna mume hapo. Mwache mtoto achague kuishi na wewe au aende kwa baba yake na sio yeye akupe masharti ya nini cha kufanya
 
After all that anakuja na vitisho? Usidanganywe ukarudi, utajutia. Move on na mwanao, Mungu atawalinda
 
Sio wote wanaofanya kazi za ndani ni wasiosoma au STD 7 wengine wamesoma mpaka diploma au degree ila ajira hamna wamejiongeza na hapo kasema anafanya kazi Oman mara nyingi wanafanya kwenye migahawa au hotel hata za ndani ila malipo sio kama bongo elfu 40
Anhaaaaaa, hongera naona nawe nimzoefu katika hili.
 
Ahsante kwa kunisaidia mm nilimaliza chuo na nilisoma web programming and graphics designing ila nilifeli kutokana na kutoshughulikia masomo, ninaongea English fasaha na ninaijua vizur sana computer..
Pole
 
Chimbuko la matatizo yote ni wewe mwenyewe kulazimisha ndoa kwa mtu asiyekutaka kwa kigezo cha eti 'alishakula tunda'....pole

Huyo mwanaume tangu mwanZo hakuwahi kukufaa...usitarajie atakufaa sasa hivi
Genius dude
 
ila dada yote aliyokufanyia huyo mwanaume kweli una hamu ata ya kuja kumwanzishia thread uombe ushauri ww bado unampenda huyo jamaa kazi kwako
Mkuu huyu hajitambui kwan muda wote huo huyoo bwana hakuwa anajua kiumbe kinahtaji matunzo... daaah kweli kibatari hukumbukwa wakati wa kiza.....
 
duuuuh pole sana sitaki kukuhukumu ila dada angu achana na huyo mbuzi kaa nae mbali ajakupenda wewe kapenda mali izo sasa kama unataka rudi nyuma mrudie uyo funza maana ni funza hana utu kabisa mwambie mwanao ajue ukweli kuhusu baba ake iyo itasaidia

ila nyie wanawake sijui kunamdudu gani anaingiaga kichwani mwenu kama wewe dada unaweza shangaa anamrudia uyo mwanaume utasikia mapenzi kukohozi babuuu.........
hapo sasa
 
Siwez kurud mkuu tatizo mtt nitakaa hivi mpk ln na yy hataki niolewe na mwanaume mwengne nampenda sana mwanangu
Mwache akakae kwa baba ake Siku yakimkuta ya kumkuta huko atarudi..stage uliyofikia na mambo uliyoyapitia kwasababu ya huyo mtu anayejiita mwanamme hupaswai kutumia moyo na hisia kutatua matatizo bali tumia akili sana..alikuacha kwny hali mbaya sana kinachomrudisha saiv ni nini..?? Move on with your life ma dia.!!
 
Mm Ni kijana mwenzenu, Nina utata kidogo ktk maisha yangu naomba mawazo yenu.

Nilipata kuwa na mahusiano na kijana mwenzangu wakat tukiwa chuo. Mapenz yetu yalikuwa matam tu tulipendana sana, mpk ilipofika hatua ya kumaliza chuo yule kijana akaenda kwao na mm nikawa nipo tu home.

Kwa vile kila mmoja alikua anakaa mbali na mwenzie na mm nilikuwa cwez kukaa mbali nae nikaamua kumshauri aje nyumbn kuniposa anioe. Yaani kumuambia suala la ndoa tu akawa km nimemfukuza.

Nikafanya jitihada nikamtafuta nikamuambia lazima anioe Mana alishakula tunda langu, ikawa ugomvi hataki mpk wakaingia wazee akalazimishwa akalazimishwa ndo akakubali kunioa.

Baada ya kunioa nilijuta Bora ningekaa nyumbani nikatafuta issue nikafanya , yn mume alikuwa ananipiga, ananisimbulia, ananisimanga kila baya ananifanyia. Huduma Hana ukimuambia anasema kachukue kwenu me sikutak.

Dah nikastahmili nikapata mimba, nilipopata tu mimba mume wangu alizid vituko harud kabisa cjui analala wap. Siku Moja akaniambia nenda kwenu me nataka kusafr, apo nilikuwa na mimba 6 months.

Kumbe yule bwana hakusafr Wala nn anaonekana mjini anadunda nikaja kusikia keshaoa mke mwengine kwangu hapiti kabisa. Nikimpgia cm hapokei Hana mawasiliano na mm iliniuma sana. Kwa uchungu na hacra nikazaa nikiwa na mimba miez Saba.

Baada ya kujifungua niliumwa sana na mtoto pia alikua mgonjwa, babaake alibadlisha namba na tulipokuwa tunakaa akahama.

Ndipo nilipoenda kwao kumuulizia lkn nashangaa ndugu zake walinidharau na kunicheka Kisha wakanipa waliosema mzigo Wangu ambayo ilikua Ni talaka.
Mume wangu aliniacha ktk Hali hii ngumu mm naumwa na mtt anaumwa kwa kweli nilikua namuhitaji nikaondoka nikashukuru mungu.

Kwa kwel nilipoteza muelekeo nikakosa dira nikijiangalia baba yangu alishakufa, mama nae mtu mzima Hana kitu. Nilisomeshwa kwa msaada wa jumuia fulan lkn nilishindwa kufanya vizur kutokana na mapenz nilijuta na kulia sana.

Sikua na msaada nikawa nauza maandazi kwa ajili ya kujikimu mm na mtoto na mama pia.

Siku Moja katika pita pita zangu nikakutana na rafiki yangu wa zamani alinishangaa kuona nilivyochoka akaniuliza yamenikuta yepi? Nikamuhadithia akanihurumia sana nilishaanza kukonga wakati nilikuwa na 23 years old.

Rafiki yangu akaniuliza unataka kufanya kaz za ndani Oman nikamuambia ndio, akanipeleka kwa mtu fulan hivi akaniambia yy atanifanyia Safari. Bac nikaondoka Tanzania nikaenda Oman mwanangu akiwa na miaka 3 na alikua anaendelea vizur japo alikua mwembamba sana.

Nashkuru mungu kumbe hii ilikua ndio njia yangu ya kunifungulia milango ya kheri na barka, nikawa napata pesa Sasa natuma nyumbani. Niliporud nikakuta nyumba yetu ishajengwa vizur na milango ya maduka miwili. Sikutosheka nikarud Tena Oman tukafungua biashara pale home duka Moja la vyakula na Moja stationaries Kuna ndugu zangu wanauza pamoja na mama. Niliporud Tena nikajenga nyumba yangu na biashara ikakua nimekod mlango mjini nikaweka nguo za kike. Huu mwaka wa tano nipo Oman nataka nikirud next year iwe ndo mwisho sirud ntakuwa na kila kitu nilichokuwa nahitaji.

Tatizo Sasa yule kijana aliyeniacha kwa dharau akanifanya nichukie wanaume wote amepata habari zangu na mtoto kampa namba yangu ananipigia kila sekunde ananiambia mke wangu turudiane tulee mtoto wetu. Jaman na mtoto nae anasema nirud kwa babaake km sitak nikiolewa na mtu mwengine atamuua.

Nipo njia panda nampenda sana mwanangu Ila siko tayar kurudiana na yule babaake nifanyeje jamani!!
Mmmh dada kuna vitu wakati wa kuchuja sio lazima utumie chekecheo.
 
Mwache akakae kwa baba ake Siku yakimkuta ya kumkuta huko atarudi..stage uliyofikia na mambo uliyoyapitia kwasababu ya huyo mtu anayejiita mwanamme hupaswai kutumia moyo na hisia kutatua matatizo bali tumia akili sana..alikuacha kwny hali mbaya sana kinachomrudisha saiv ni nini..?? Move on with your life ma dia.!!
Ahsante
 
Ndoa yenu mlifunga kwa imani ya dini ipi?

Nikupe ushauri wa kiimani utakaomzuia yeye kuishi nawewe.
 
Back
Top Bottom