frank jb45
Member
- May 5, 2017
- 78
- 53
Na yale yaliyokamatwa na auction mart sijui wenyewe watarudishiwa? Maana walikuwa wana mpango wa kuyapiga mnada kutokana na road licence
Usiumie.. Umefanya vyema kuchangia pato la nchi.. Wewe ni mzalendo wa kweli.Kumbe madeni yanalipwa kwanza? Maana mimi roho imeniuma wiki iliyopita nimelipa 1,087,500 kodi ya kuanzia 2015 sasa niliposikia wamefuta nusu nilie kuwa ningejua ningesubiri. Ila kama watadai madeni ya nyuma kabla ya uamuzi huu nitajiona mjanja vinginevyo bado naugulia maumivu!
Hizo sticker za fire nadhani zitarudishwa sasa sidhani kama wataanza kukata kwenye mafuta pia.Mkuu madeni ya nyuma,adhabu na faini zote zimefutwa kwa hiyo sasa hivi hakutakuwa na swali kutoka kwa Mamlaka yoyote iwe Polisi au TRA juu ya Motor Vehicle Licence, ni mwendo wa Stika ya Bima na Inspection tu...Labda waibue stika za fire!
hahahahahaahahahaahahahahaha kwa kweli,
Pikipiki zilishafutiwa tangu 2013 kama kumbukumbu zangu ziko sawaHajazungumzia piki piki, amesahau naona!
madeni yamesamehewaKumbe madeni yanalipwa kwanza? Maana mimi roho imeniuma wiki iliyopita nimelipa 1,087,500 kodi ya kuanzia 2015 sasa niliposikia wamefuta nusu nilie kuwa ningejua ningesubiri. Ila kama watadai madeni ya nyuma kabla ya uamuzi huu nitajiona mjanja vinginevyo bado naugulia maumivu!
Pamoja na Isuzu.Umesahau na zile Morris mkuu
ahahaaangoja nifufue combi yangu
Juzi nilikuwa nimepaki pembeni mwa barabara. Ile naondoka tu,trafiki kanipiga mkono kisa sijafunga mkanda! Pamoja na kujitetea kote kaniandikia notification nikalipie shilingi 30,000!!Hasa la kutovaa mkanda
Aliyotembelea mzee JKN enzi hizo ipo pale Museum inashangaa tuUmesahau na zile Morris mkuu