serengo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 478
- 339
Nikutafuta bima tu boc kuanzia 1st JulyHivi hii inamaana mtu aliyekuwa ame park labda sababu anadaiwa hiyo motorvehicle za nyuma inamaana ndo basi tena ikifika julai anatafuta bima tu au denu lipo palepale.. Maana kuna mtu aliniuliza hii kitu nika mute kwanza..