GREAT VISIONAIRE
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 365
- 453
Kwa maana kila binti anayetoka chuo nikimuaproach ana wake,nami nimeamua kutafuta binti mwenye digrii ndio naoa
Kila la heri..!
Kwani wewe English course umemaliza ? lol
Hahahaaaa.... Nina degree tatu.!
Kwa maana kila binti anayetoka chuo nikimuaproach ana wake,nami nimeamua kutafuta binti mwenye digrii ndio naoa
Basi sitakuweza lol
mimi na date wa 'english course only'...lol
Unaogopa haya ma degree matatu?? Mmmh... Ina maana uki date na wenye degree tatu huwa haipiti??
Naogopa kupewa 'lecture' kitandani lol
Hahaaaaa......... Havina uhusiano banaaa! Kitandani nakuwa kama sijasoma hata chekechea..! Ile ni habari nyingine kabisaaaaaa usiogope!!
Mkuu hizo ni mbwembwe na mashauzi tu, ki ukweli huku mtaani soko la mabinti waliosoma liko chini sana, ndio maana ni rahisi sana kwa wao ''Kujilipua''Kwa maana kila binti anayetoka chuo nikimuaproach ana wake,nami nimeamua kutafuta binti mwenye digrii ndio naoa
Halafu wa degree tatu na wa 'mujini' naona ndo wataendana..au we waonaje?lol
Hahahaaa...... Wa mujini + degree 3 = ??? Naogopa kutoa jibu!!