Neylu
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 2,938
- 1,840
Sasa waogopa nini?
jibu tuu
Haya natoa jibu sasa.. Wa mujini + degree 3= Mambo mpwinto mpwintooooo..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa waogopa nini?
jibu tuu
Haya natoa jibu sasa.. Wa mujini + degree 3= Mambo mpwinto mpwintooooo..!
ha haa haa
but wa 'mujini' anaweza zidiwa ujanja naona..
chezeiya Phd? lol
Hahahaa... Usifanye masihala na mkaka wa Mujini wewee, na ma utundu yake ya kimujini mujini..! Baaasi Phd yoote inayeyuka..!
Kila mjanja ana mjanja wake lol
kila boss ana boss wake....PHD ni top lol
Ukinipatia wine ya Mon amie itakuwa bombaaaaa!!
una elimu gani kwani wewe?!!Kwa maana kila binti anayetoka chuo nikimuaproach ana wake,nami nimeamua kutafuta binti mwenye digrii ndio naoa
Mmmmmmmmmmmmmh!!!!!!!!!!! Mi natafuta mwenye MBESA hata akiwa darasa la saba!!!!!!!! Degree ukiipeleka dukani kwani inanunua bidhaaaaaa? I didnt think soo!!!!!!!!! Mambo yote wallet iliyotuna mmiliki akiwa elimu ya UPE!!!!!!!!!!!
Mi nina diploma na wallet. Khaaaz ni kwako
Kwa maana kila binti anayetoka chuo nikimuaproach ana wake,nami nimeamua kutafuta binti mwenye digrii ndio naoa