mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,336
Hili ni moja kati ya yale mataga vichwa panzi,halijaelewa kama uzi ni sarcasm!Haya Mapinzani ni Malofa hayana sera
70% ya waliochangia hawajasomaHili ni moja kati ya yale mataga vichwa panzi,halijaelewa kama uzi ni sarcasm!
😁😁😁,soma vizuri mstari kwa mstari au tafuta mtu akusaidie kuelewa!
Ama kweli wafuasi wa CCM ni ng'ombe.....ko umeshindwa kabisa kuelewa mantiki ya mwandishi...Upinzani ni vichwa panzi. Afadhali umewaumbua
Nashukuru umesoma na umeelewanmependa ulvofksha ujumbe....MATAGA kazi wanayo
Unawahi buku 7 eeehUpinzani ni vichwa panzi. Afadhali umewaumbua
Kujibishana na mawakala wa mabeberuUnachekesha.. anachoshwaje sasa!?
Nimekuelewa mkuu.Wapinzani kwasasa hawana 'hoja' wanaona ilani yetu ya 'CCM' ni 'nzuri' kila siku wanaisoma kwenye mikutano yao iwe ni kwa kuiba hoja au kwa kuponda baadhi ya zilipo kiufupi saivi wapinzani wamegeuka kuwa wachambuzi wa Sera za chama cha CCM na sio kunadi Sera zao.
Wito kwa time ya uchaguzi wawaonye ama kuwafuta kabisa wanaojaribu kupotosha ilani ya CCM kama alivyofanya moja huko Itigi kwa kutaja hadi page, manayake kaikariri kuliko yake, hii ni hatari na itapelekea kumpunguzia kasi Rais wetu.
Wito kwa polisi hawaoni huo uchochezi eti CCM itaweka rehani madini yetu.
Its possible?
Yametumwa na mabeberu wallah
Mbona lugha Kali bropumbavu