SAP wakiri walitoa rushwa Tanzania na nchi nyingine



Pascal Mayalla

P, mbona waandishi wetu awamuhoji msemaji wa serikali kwennye haya mambo tujue kilitokea nini? Bila kuwa na waandishi wa kuhoji wezi hawataweza kuacha haya
 
Pascal Mayalla

P, mbona waandishi wetu awamuhoji msemaji wa serikali kwennye haya mambo tujue kilitokea nini? Bila kuwa na waandishi wa kuhoji wezi hawataweza kuacha haya
Mkuu Kamundu , hii ndio naisikia leo
Makampuni makubwa yote kwenye utafutaji wa tenda kubwa kubwa very lucrative, wana set aside fungu nene la lobbying and advocacy, ambalo hutumia kulainishia njia.

Wanawapa watendaji paid trips za facility visits kwa kuwasafirisha kwa 1st class tickets, and 5 star Hotel.

Gharama zote zinakuja kuwa included kwenye bid price. Kisha wanawapa offer ya kuweka cha juu chochote ambacho kinakuja kurejeshwa as kickbacks.

Hivi ndivyo hufanyika miradi mikubwa yote!.

Ya kwenye Rada ilibumburuka, kampuni ikiisha lipishwa fine, hiyo fine ni for non disclosure ya recipients wa kickbacks, ile chenji ya Rada ndio hiyo.

Hata DPW nao wamefanya yao!, zile paid trips za Expo Dubai, they are not for nothing!, it's something!.
P
 
DP world wanakuja kufyagia bandari. Wao ni kazi tu, mapato yao yanaambatana na ufanisi kazini.
Na kazi iendelee
 


Lakini swali langu ni kwanini Media ya Tanzania haiongelei ufisafi ambao hata kampuni yenyewe imekubali? Hii inatia mashaka media za Tanzania. Mambo kama haya sio ya kisiasa pekee inaonekana kama hukuna kujali tena hata kama mambo yako wazi. Inashangaza magazeti ya nje yanaandika lakini hata waha habari hawana news!

what is going on

zitto junior
 
Hiki media yetu inachoandika ndio uwezo wetu huu!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…