Samweli Sitta ni Mgonjwa

Samweli Sitta ni Mgonjwa

Status
Not open for further replies.
Apone ili iweje...hana faida yoyote...huyu mtu alibaka katiba ya wananchi hivihivi
Kwako ndio Hana faida, ila kwangu na kwa wenzangu wasiozibwa na chuki, wivu, visasi na ndugu wa mambo hayo, twamtakia AFYA NJEMA.
 
Wakuu habari hii imeandikwa na gazeti la Tanzania Daimaa, Aliyekuwa spika wa bunge la 9 Ndugu Samweli sitta ni mgonjwaa mpaka kutoweza kutembeaa. Mke wake adai anaendelea vizuri.

.
Bado naendelea kulisoma nilete habari kamili

20160913_043403.jpg


My take..
Sijui kama serikali inalijua hilii
Na nina hakika kuanzia kesho au leo tutaanza kuona misafara ya viongozi kumtembeleaa kwa unafiki uliotukukaa

=======
Unafiki tena!Yaani watu wamepewa taarifa mwenzao anaumwa then kwenda kumuona ni unafiki??Hii nchi tunaelekea wapi??
 
laana ya watanzania itawatafuna kila msaliti kufa tu.


swissme
 
Pole Baba,Kweli ulileta Mapinduzi ktk binge tukavutiwa nalo ilikua motooo,Richmond....binge lili balance has a mpaka kufikia upinzani na Ccm kuungana kupigania jambo moja!!
Kwa Richmond alikuwa na agenda yake mfukoni
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom