Samweli Sitta ni Mgonjwa

Samweli Sitta ni Mgonjwa

Status
Not open for further replies.
Big mbona anasuasua watu kunawa au kuongeza uji? Hii ni penati na inatakiwa ifungwe na watu angalau wafute machozi kwa kagoli kamoja, kuombewa kwa mungu ni kawaida lakini wengine ni vizuri kuwaombea kwa shetani kwa matendo yao mabaya walooyafanyia binaadamu
 
Tatzo ukawa ndo wazushaji wa kutaka kuona wao ndo more efficient kwn wanaponda kuona wao ndo wamefanya la maana kwan mmenda kumuona au? Mwanae huyo
 
Unafiki wake karibia utafika tamati,alisuka mbinu na kitengo kummaliza Ngoyai mpendwa wetu na wakamsingizia mambo meeengiiii.....sasa mwisho akachakachua bunge la katibaa,najua wote ni wa Mungu lkn yy hakuonesha utukufu wa Mungu,,,naomba Mungu ampe mateso makali kama ya yule waziri aliyeponea chupuchupu India

Utafiti unaonesha wanaostaafu asilimia kubwa hufa ndani ya miaka mitano...
Mara nyingi ni viongozi na ndo maana wanang' ang'ania sanaa madaraka bila uongozi hawaishi kwa amani na ndo maana hufa mapema mara tu baada ya kustafu
 
Wabongo hatupendani hata katika kipindi kigumu anachopitia mtu husika? Sasa ww unayemuombea mwenzio njaa utafikisha miaka 100 kwl?. Lakin all in all tembo hata akonde vipi hawezi kuwa sawa na sungura.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom