Samweli Sitta ni Mgonjwa

Samweli Sitta ni Mgonjwa

Status
Not open for further replies.
Sultani mwenye madevu anaetaka kurudi znz anawaombea kupona wagonjwa wote .ukweli ni huo ni mguu tu na mungu atamjaalia atapona ni suala la muda tu .ugonjwa huingia mara moja ila kupona lazima ichukue muda kidogo hasa kwa viungo vya mtu mzima
 
Wakuu habari hii imeandikwa na gazeti la Tanzania Daimaa, Aliyekuwa spika wa bunge la 9 Ndugu Samweli sitta ni mgonjwaa mpaka kutoweza kutembeaa. Mke wake adai anaendelea vizuri.

.
Bado naendelea kulisoma nilete habari kamili

20160913_043403.jpg


My take..
Sijui kama serikali inalijua hilii
Na nina hakika kuanzia kesho au leo tutaanza kuona misafara ya viongozi kumtembeleaa kwa unafiki uliotukukaa

=======
Diana hivi Baba aliwahi kukuambia ule mchakato wa katiba ulikuwaje?
 
Wishing mheshimiwa Sitta a very quick and smooth recovery
 
dah mzee wakatiba pandikizi samahani katiba pendekezwaa anaumwa?
 
Wakuu habari hii imeandikwa na gazeti la Tanzania Daimaa, Aliyekuwa spika wa bunge la 9 Ndugu Samweli sitta ni mgonjwaa mpaka kutoweza kutembeaa. Mke wake adai anaendelea vizuri.

.
Bado naendelea kulisoma nilete habari kamili

20160913_043403.jpg


My take..
Sijui kama serikali inalijua hilii
Na nina hakika kuanzia kesho au leo tutaanza kuona misafara ya viongozi kumtembeleaa kwa unafiki uliotukukaa

=======
Sawa mtoto wa Sitta umetutia moyo mashabiki wa mwendo kasi wake maana angekuwa spka kipindi hk taifa linge stand up
 
Kosa lile la kuchafua katiba yetu sijui kama nitakuja kumsamehe, labda akiwa kaburini ndiyo naweza kumsamehe
Kutokusamehe ni kujiumiza mwenyewe!

Humuumizi aliyekukosea kwa kutokumsamehe bali unamuumiza kwa kumsamehe!
 
Pole kwa kuugua mzee Sitta. Pili ninamwomba Mungu akupe Afya na maisha marefu hadi ushuhudie ukombozi wa Tanzania kwa kupata katiba ya wananchi ambayo wewe uliipinga kwa nguvu zote isiwepo.

Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
 
Utatangulia utamuacha ukimwi ajali ya gari vyote vipi nyuma yako
Watu wamekuwa na roho mbaya sababu ya ukali wa maisha. How can u even wish a person to die eti amekula chumvi, ulimlisha wewe? Wivu tu na roho mbaya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom