Samweli Sitta ni Mgonjwa

Samweli Sitta ni Mgonjwa

Status
Not open for further replies.
Juzi nilipita nakuona bandiko ya kwamba Samweli Sitta ni mgojwa..
Lakini baadae kwenye pita pita zangu nikaona Bandiko jengine huko faceboo kutoka kwa mwanae Sitta ambae anaitwa Diana Sitta,Nikasema nije niwajuze wana jamii wenzangu..
Bandiko la Diana Sitta hapo facebook lilikuwa na maneno yafuatayo;-

This is too much!naomba kufafanua hiki kichwa cha habari.baba yangu Mh Samuel Sitta.siku ya trh 7 akiwa anashuka ngazi kwa bahati mbaya aliteleza na kuumiza mguu wake wa kulia.kuamka siku ya pili mguu ulivimba na akashindwa hata kuukanyagia.Alienda hosp na kufanyiwa vipimo dactari alisema hajavunjika ila mguu umeshtuka hivyo utapona taratibu kulingana na umri wake mifupa si imara sana:hivyo ameanza mazoezi hamna ugonjwa unaousisha yeye kutotembea.na sasa anaendelea vizuri kwani alikuwa hawez kukanyaga chini kwa kutumia huo mguu ila sasa angalau ameanza hata kuukanyagia.habari nyingi huwa tunapuuzia ila mambo yanapopitiliza inatulazimu tuongee kidogo.

asante..
 
Sasa kama alienda mpaka hospitali na akawa hawezi hata kukanyaga hiyo ni nini kama sio kuugua. Yeye angefafanua tu hiyo aina ya ugonjwa lakni sio kukanusha kuwa haumwi kwasababu kuumwa ni kasoro yoyote inayotokea katika mwili kwa ajali au inayokuja yenyewe kwa maambuzi au mabadiliko ya mwili inayokupunguzia uwezo wako wa kufanya shughuli zako au kutojisikia vizuri kwa maumivu. Hata kichwa kikiuma ni ugonjwa.

Lakini katika post iliyokuwa humu JF kuhusiana na suala hili nafikiri yeye mwenyewe au familia wakisoma comments zile ndio watajua watanzania wengi wanamtizamo gani kuhusu huyu mzee ni wazi walikwazwa kuhusiana na suala la katiba mpya kwa jinsi lilivyokuwa na hatimaye kutoa kitu ambacho watanzania wengi hawakukitegemea au kukitaka. Kwakuwa yeye alikuwa ni dereva wa hilo bunge lawama zote za yaliyotokea anabeba yeye.

Halafu huyo binti ajue babake ni mtu maarufu na mkubwa hivyo hata akiumwa na nyuki mmoja tu ni habari lakini sio mimi au raia yeyote wa kawaida. Wangapi wapo hoi hospitali na hawaandikwi. Ukubwa jalala!
 
..anapotea vibaya mzee....atubu zambi mapema sasa....kabla muda haujawadia...
 
mbona hiyo habari imedhibitisha ni mgonjwa....?
Japo ni wa tofauti na uliotolewa awali...
 
Mkuu binadamu wote hua wanaugua. Hakuna haja ya kuficha lolote
 
Kama kweli si mgonjwa ni jambo la kushukuru ila kuna kamsemo ka wahenga sijui mficha maradhi nini nini
 
Kosa lile la kuchafua katiba yetu sijui kama nitakuja kumsamehe, labda akiwa kaburini ndiyo naweza kumsamehe
Wewe nani kakwambia yeye ndo ataanza kwenda kaburi ili huku nyuma wewe umsamehe?unaweza ukaanza wewe pia...ajuae ni mungu tu.
 
Wewe nani kakwambia yeye ndo ataanza kwenda kaburi ili huku nyuma wewe umsamehe?unaweza ukaanza wewe pia...ajuae ni mungu tu.
Bado jibu ni lile lile, sintokuwa nimemsamehe, lakini akitangulia yeye naweza kupata huruma nikamsamehe na kumuombea kwa Mungu amsamehe, kwa hiyo ili apate msamaha wangu inabidi atangulie yeye
 
huyu mzee hata akifa kesho sawa tu Hana faida yoyote kwa taifa,sijui kwanini anachelewa kufa
Hawa wazee wamelitumikia taifa,wewe unasema hawana faida?au mtu mpaka auze duka la vipodozi kama wewe ndio awe matawi ya juu.
 
Binaadam tumeumbwa tuumwe na kifo ni haki kwa kila mtu,mungu amsaidie
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom