mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,212
- 867
Malawi wanataka Lake Nyasa ambalo wao wanaliita Lake Malawi liwe lao lote,, wanasema Watanzania wana maziwa mengi sana pamoja na bahari ya Hindi so its better tuwaachie Lake Nyasa/Malawi liwe lao 100%.. So they started exploration ya mafuta na gas mpaka wanakaribia kuingia Mbinga sasa..
bora tu tuwaachie, kwanza hatulitumii sana, hata ziwa tanganyika wakitaka wachukue tu, hatupendi vita sisi na rais wetu ni mpole