johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,025
Muungano wa Nchi 120 zisizofungamana na Upande wowote zinakutana nchini Uganda na tayari zimeagiza Vita ya Israel na Hamas Isitishwe
Aidha mkutano huo utazungumzia Vita ya Russia na Ukraine pia migogoro ya Sudan, Somalia nk
Umoja huo unaundwa na Nchi Kutoka Africa, Latin America na Asia
Tanzania imewakilishwa na Waziri mkuu mh Majaliwa kwa niaba ya Rais Samia
Source Al jazeera news
Aidha mkutano huo utazungumzia Vita ya Russia na Ukraine pia migogoro ya Sudan, Somalia nk
Umoja huo unaundwa na Nchi Kutoka Africa, Latin America na Asia
Tanzania imewakilishwa na Waziri mkuu mh Majaliwa kwa niaba ya Rais Samia
Source Al jazeera news