mwanaodessa
Member
- Apr 1, 2012
- 88
- 13
Kuliko kuiachia malawi ziwa nyasa bora tutwangane tu.bora ziwa nyasa lisiwe na mwenyewe liwe linaogopwa kama mamamkwe pande zote mbili kila nchi inayo taka kuligusa ziwa nyasa ijione ni kama inataka kumgusa mamamkwe hapa ndipo tutakapoheshimiana.
This make sense