Elvicepride
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 243
- 65
- Thread starter
- #81
Ila Samsung wanaiuza Grand Prime plus+ 295,000/- nilishangaa ulivyosema 250,000/-
Kuna mtu nafanya naye kazi na yeye anataka anunue Samsung Grand Prime plus+ 2016 nimemshauri xiaomi ila kakataa kwahiyo inaweza ikamfaa tu hii?
kweli baba hii simu ya kutunzwa sn yn km yai...me ninayo yn mpk najuta kuinunua kw maana inanilazimu kua muangalifu zaidi...ata games nahofia kuweka naona km naiumizainafanya almost kila kitu unachotaka kufanya kwenye simu ila ni simu ya mauzo kama hujui kutunza kaa mbali nayo. bei around 600,000 hadi 800,000 hivi

Laki mbili mpaka tatuWadau naulizia display ya samsung J5 inaweza kufika bei gani?
Ni bei gani hii simu na kwa hapa dar es salaam tanzania naipatia wapi?? Maana hizi simu niliwaona wahindi wa officn wote wanazo![]()
specification hizi hapa
Xiaomi Redmi Note 3 - Full phone specifications
specs zinazoifanya iwe ni simu ya kipekee ni
-battery kubwa 4050mah
-ina core mbili za cortex a72
Na Ataweza Kutumia Memory Card kama Internal Memory maana 8GB Rom internal Memory inauma ilivyo ndogo maana ni android 6 naskia ina hicho kipengele?sio mbaya ila awe makini tu na virusi, asidownload vitu nje ya playstore na asieke apps asizozijua
official hataweza ila zipo njia nyengine kama kutumia adb ili kuipata hio featureNa Ataweza Kutumia Memory Card kama Internal Memory maana 8GB Rom internal Memory inauma ilivyo ndogo maana ni android 6 naskia ina hicho kipengele?
Nielekeze unafanyaje?official hataweza ila zipo njia nyengine kama kutumia adb ili kuipata hio feature
Nimejifunza Hiyo Adb Google nimeelewa inahusisha Command ya computer ila sio risky maana naona inahitaji uwe hata na class ten ya memory card.official hataweza ila zipo njia nyengine kama kutumia adb ili kuipata hio feature
sio class 10 tu inahitaji memory yenye speed sana. sababu write speed na read speed hata zikiwa kubwa kama random read/write ni ndogo memory card itafanya simu iwe slow.Nimejifunza Hiyo Adb Google nimeelewa inahusisha Command ya computer ila sio risky maana naona inahitaji uwe hata na class ten ya memory card.
ideal memory card ni kama samsung evo+ series inafaa kwa speed yake, japo haijafika internal memory level ila inajitahidi. sema bei ndio mkasi kwenye 50,000 kupanda juuNimejifunza Hiyo Adb Google nimeelewa inahusisha Command ya computer ila sio risky maana naona inahitaji uwe hata na class ten ya memory card.
Nimekuelewa Sanaideal memory card ni kama samsung evo+ series inafaa kwa speed yake, japo haijafika internal memory level ila inajitahidi. sema bei ndio mkasi kwenye 50,000 kupanda juu
sio class 10 tu inahitaji memory yenye speed sana. sababu write speed na read speed hata zikiwa kubwa kama random read/write ni ndogo memory card itafanya simu iwe slow.
250k?, duka gani nkadake fasta, kuna darueshi kapigwa 350kmambo madogo tu mkuu, ram yake ni kubwa na cpu yake ni average ila gpu ni ndogo na sababu ni mediatek kuna vitu kama virusi, jiandae. nimeiona madukani 250,000 bei sio mbaya compare na competition zinazopatikana madukani.
ila kama una uwezo ni bora utafute simu za xiaomi mkuu, redmi 3 au redmi 4a ina specs za maana kushinda hadi simu za laki 5 au 4 za samsung na wengine wanaopatikana Tanzania. na bei zake zote ni chini ya dola 100. zipo kenya tu hapo official kama una uwezo jitahidi kutafuta hizo.
aggrey nimeziona hakikisha tu ni international version kwa kuregister imei yake samsung.250k?, duka gani nkadake fasta, kuna darueshi kapigwa 350k
Nalipata hilo duka mkuu, ntalishukia.aggrey nimeziona hakikisha tu ni international version kwa kuregister imei yake samsung.
duka lenyewe kama unatoka uhuru na msimbazi unaelekea likoma pita jengo la kwanza na la pili utaona kiduka kimoja kidogo sana hata watu wawili hawakai ndani kata kulia uchochoro unaofuatia upande wa kushoto angalia huku unatembea utaziona.
Mkuu mkwawa hebu nitoe usingizini nawaza kununua Hisense king kong. 2 au honor x6. Napenda ku watch sports, kusoma na ni fun wa YouTube. Mostly nafanya tethering kwa PC na wakati mwingine na download kwa phone.yap ni majanga, simu ya mediatek nunua ikiwa inakupa perfomance kubwa kuliko competition, mfano kuna simu za mediatek helio x20 chini ya laki 4 hilo ni deal nzuri lakini hawa kina samsung, Tecno, Htc, huawei, Lg etc sio tu kwamba wanaeka mediatek, wanaeka mediatek zile ndogo kabisa ambazo hata perfomance nzuri ya kila siku hutaipata
mambo madogo tu mkuu, ram yake ni kubwa na cpu yake ni average ila gpu ni ndogo na sababu ni mediatek kuna vitu kama virusi, jiandae. nimeiona madukani 250,000 bei sio mbaya compare na competition zinazopatikana madukani.
ila kama una uwezo ni bora utafute simu za xiaomi mkuu, redmi 3 au redmi 4a ina specs za maana kushinda hadi simu za laki 5 au 4 za samsung na wengine wanaopatikana Tanzania. na bei zake zote ni chini ya dola 100. zipo kenya tu hapo official kama una uwezo jitahidi kutafuta hizo.
mkuu una hoja kwamba hio simu nilioitaja haifai? kama unayo toa, huwa sishauri mtu kitu kwa mapenzi binafsi.Mkuu hizo xiaomi we ndo wakala wao huku jf nn badala ya kuwakimbia nokia,naona kila mtaka simu lazima umshauri anunue xiaomi,hebu declare your interest kwanza mkuu
umemaanisha honor 6x? hio honor ni nzuri zaidi ya hio hisense karibia kila idaraMkuu mkwawa hebu nitoe usingizini nawaza kununua Hisense king kong. 2 au honor x6. Napenda ku watch sports, kusoma na ni fun wa YouTube. Mostly nafanya tethering kwa PC na wakati mwingine na download kwa phone.