Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,065
- 43,496
labda unadownload moded ambayo ni version ya zamani wakati ndani ya simu tayari una version mpyaAsanteh mkuu! Ila hivi tatizo ni lipi maana kila site nikipakua game ya brothers in army mod nikistall inagoma inasema app not installed ila nikipakua ambayo siyo moded or cracked inakubali vizuri na simu yangu ina run android six tatizo ni nini hapo na haipo rooted?