Samsung Grand Prime Plus+ Inafaa

Samsung Grand Prime Plus+ Inafaa

kwa specification s7 edge ndio best phone kwa sasa sokoni, japo muda si mrefu itatoka s8 kama miezi mitatu hivi bado.

ila sio value for money, bei yake ni kubwa sana, kama flagship nyengine nyingi.

simu highend nzuri ambazo ni value for money ni xiaomi mi 5 na oneplus 3T

lakini ukumbuke hizo value for money kuna vitu unavikosa kama vile
-camera nzuri compare na samsung
-support na warranty nzuri pindi simu inapoharibika
Shukrani Chief, halafu uzuri wako huchelewi "ku-respond"! Kila lenye kheri.
 
mambo madogo tu mkuu, ram yake ni kubwa na cpu yake ni average ila gpu ni ndogo na sababu ni mediatek kuna vitu kama virusi, jiandae. nimeiona madukani 250,000 bei sio mbaya compare na competition zinazopatikana madukani.

ila kama una uwezo ni bora utafute simu za xiaomi mkuu, redmi 3 au redmi 4a ina specs za maana kushinda hadi simu za laki 5 au 4 za samsung na wengine wanaopatikana Tanzania. na bei zake zote ni chini ya dola 100. zipo kenya tu hapo official kama una uwezo jitahidi kutafuta hizo.
Nipo mbioni kununua xiaomi redmi 4a USD 96 (www.gearbest.com), vp 4G inakubali mitandao ya TZ?
 
xiaomi-redmi-note-3-phone-14.jpg


specification hizi hapa
Xiaomi Redmi Note 3 - Full phone specifications

specs zinazoifanya iwe ni simu ya kipekee ni
-battery kubwa 4050mah
-ina core mbili za cortex a72

Nilitumia hii machine for six months, wanaonea imani wanaotumia tecno kwani hawajawa exposed kwa machine ya uhakika kama hii...next stop ni Oneplus 3T...mnyama kazini
 
Mkuu natumai hii xiaomi redmi note 3 inakubali mitandao yote na mpesa pia.
Mkuu natumai hii xiaomi redmi note 3 inakubali mitandao yote na mpesa pia.
inakubali mitandao yote na mpesa ila model yenyewe haina tigo 4g (mtandao wa tigo unashika unatumia kawaida 2g na 3g kasoro 4g, na nafkiri songea hakuna 4g)

ila pia ipo special edition inakubali tigo 4g japo sijajua model yake ni ipi
 
inakubali mitandao yote na mpesa ila model yenyewe haina tigo 4g (mtandao wa tigo unashika unatumia kawaida 2g na 3g kasoro 4g, na nafkiri songea hakuna 4g)

ila pia ipo special edition inakubali tigo 4g japo sijajua model yake ni ipi
Asante sana chief, Natumai 4g italetwa labda mwisho wa mwaka huu. Hata ivo sina line ya tigo.
 
ila mkuu kuwa makini kuna version mbili za redmi note 3, ipo ya china yenye mediatek helio x20 na ya kimataifa yenye snapdragon 650 ni vyema ununue hio ya kimataifa
Mkuu naomba nikuulize kitu cha mwisho.
Nawezaje kujua hii ni ya kimataifa au hiyo snapdragon nifuate procedure gani kuiona au nitakaye mwagize aniangaliziaje?
 
Mkuu naomba nikuulize kitu cha mwisho.
Nawezaje kujua hii ni ya kimataifa au hiyo snapdragon nifuate procedure gani kuiona au nitakaye mwagize aniangaliziaje?

ukiwa simu umeshaishika unaeka application ya cpu-z itakuonyesha kama ni mediatek au snapdragon.

ila kama simu ipo mbali na wewe hapo ni uaminifu tu hamna namna,
 
ukiwa simu umeshaishika unaeka application ya cpu-z itakuonyesha kama ni mediatek au snapdragon.

ila kama simu ipo mbali na wewe hapo ni uaminifu tu hamna namna,
Hapo ni mtihani mwingine, ngoja ni google how to use cpu-z.
 
Mkuu naomba nikuulize kitu cha mwisho.
Nawezaje kujua hii ni ya kimataifa au hiyo snapdragon nifuate procedure gani kuiona au nitakaye mwagize aniangaliziaje?

Mimi ninayo hii simu na nazijua..kuijua ya Snapdragon nenda settings then about phone finally angalia kipengele cha CPU,kama ni Snapdragon imeandikwa "Hexacore" ila kama ni Mediatek utakuta octacore.
 

Attachments

  • IMG_20170111_144309.jpg
    IMG_20170111_144309.jpg
    82.6 KB · Views: 90

Similar Discussions

Back
Top Bottom