Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,625
Mkuu you want stories but am not a story teller...
Mwenye akili timamu ni yule atakae compare Tetea na Jogoo lakini sio Jogoo na Bata...
Samsung anafanya innovation ya Hardware na Iphone anafanya ya Hardware pamoja na software, kwahiyo unapoliingiza suala la os security kwa samsung hapo unamwingiza na google kwasabu ndiye mwenye OS kama huelewi hili nadhani utaendelea kubisha.
Mpaka tunamlinganisha samsung na iPhone leo hii tumeangalia device za samsung zinavyo hit, leo samsung akisema a base kwenye Tizen OS itamfanya a drop kidogo kwasabu ana hit na android... Na mpaka katengeneza Tizen mana yake yupo kwenye njia yakumwacha Android nae a base ktk OS yake.
Haya Tizen nayo inatumia Linux kwasabu ni Open source, kafanya hivi kwasabu wengi wanapenda customization.
Niliingizia bb kwasabu naona we mwenyewe unatoka nnje ya mada unaanza kuzungumzia OS badala ya hardware, kama kawaida yako ukipaisha iPhone kua ina best security akati zipo Blackberry, hebu tufananishe hardware kwanza suala la OS tutaeka kwenye thread ya android vs iOS
Apps android itaendelea kukimbiza.. Unasema apps nyingi za Android ni useless au useless kwako ?
application kama hauzitumii usiseme ni useless nikikupa "iObit" unaeza sema ni useless kwasabu may be hujui kazi yake, application za android zingekua hazina maana google wangezitoa kama walivyofanya PTB
Huu apa mfano iOS alipomcopy android.
![]()
Narudia tena usifanye comparison ya iOS na Samsung, fanya kati ya Iphone na Samsung.
Mbona sijaona copy yeyote hapo? Simu karibu ya zote zina saa kubwa kama hizo hapo.
Apple kaweka kati kati juu
Android kaweka juu pembeni kulia
Windows phone anaweka pembeni chini kushoto au wakati mwingine inakuwa inazungua kama animation