Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,222
- 44,208
Mkuu hii hoja yako haija nishawishi kabisa
Unapoenda kufanya tangazo unafanya tangazo specifically unatangaza nini,
Huwezi kutangaza in general tangazo moja ukatangaza bidhaa zako zote unayozalisha
Matangazo yanayozungumziwa hapa ni ya simu zao na haswa flagship zao
mfano jamaa anasema samsung wanaeka matangazo dstv, sisi tuaangalia kwenye vibanda uchwara, wanapoeka tangazo pale wanamtarget nani? wanagapi wnauwezo wa kununua s5? why samsung anapoteza hela pale?
samsung akitangaza bidhaa anakuwa hatangazi ile bidhaa tu bali hata jina lake la samsung, anataka likae kichwani usilisahau ili hata kesho ukienda kununua tv ukikuta tv moja imeandika wjgtikjbdkqsgf na tv nyengine imeandikwa samsung ununue ile samsung.
watu wa kawaida hawapo kama sisi wanakariri tu brandname hawana muda wa specification wala nini kama huamini nenda kesho maskani kwenu waulize oneplusone na samsung galaxy pocket ipi simu kali? utaona wengi watajibu samsung sababu ndio brabd wanayoijua. samsung ana tv, mafridge, mashine za kufulia, ac, laptop, simu, redio na makorokoro mengine the more anavyotukaririsha jina lake the more hatumsahau the more tutanunua.
apple yeye hayuko kama samsung bidhaa zake chache na zinatarget watu wenye uwezo why awakaririshe maskini bidhaa zake? thats why anafanya targeted ads. mfano wa matangazo ya apple yanafanywa na mitandao ya simu, wao wanajua fulani ana hela fulani hana hivyo wanajua watangaze vipi.
ushawahi ona tangazo la iphone kwenye mazingira ya kimaskini?