Samsung Galaxy s6 vs iPhone 6

Samsung Galaxy s6 vs iPhone 6

Maybe kuhusu battery wamezingua lakini sd card ni vizuri ambayo hawajaieka sababu always watu wanataka sd card za bei rahisi na kusababisha simu kuwa slow.

s6 storage ndogo kabisa ni gb32 ambazo zinatosha kabisa matumizi ya kawaida na kama una matumizi makubwa kuna version ya gb 128. bado unalalamika sd card?

Ukumbuke s6 memory zake ni 2.5 faster compare na simu nyengine duniani mtu akieka menory card ni kama kufunga mkokoteni nyuma ya ferrari.

Kuhusu design leo hii iphone 6 imekua design ya apple? si juzi juzi tu tulikuwa tunamponda apple kwa kucopy lumia na HTC?

Mkuu atakae kubishia ni mwendawazimu
 
kaka hatuongelei speed ya makumi hapa tunaongelea speed ya digits tatu.

-write speed s6 imescore 139MB/s
-read speed s6 imescore 314MB/s
-random speed s6 imescore 77MB/s

angalia hizo score then compare na zako halafu niambie utataka sd card?

maana class 4 za aggrey ni 4MB/s
ukienda posta ukapata class 6 ni 6MB/s
hata ukipata class 10 ni 10MB/s

sasa just compare hizo speed za sd card then compare na memory ya s6 utaona ni kama kuichafua simu kueka memory card.

unless ununue sd card zenye super speed na bei zake ni mamia ya dola ni bora tu ukachukua 128gb versiob.


Ku compare specs za internal memory na external memory always internal itashinda, lakini uhitaji wa external memory bado utabaki pale pale.
Manufactures wanajitahidi kila siku kuimalisha internal storage zao apart from capacity but also quality, kwasabu ikiharibika internal memory kosa linakua ni lakwao and they have to repair.

Unachokifanya hapa niku compare internal memory versus external wakati swala ni uhitaji external memory slot, ata kama internal ingekua 1000MBps na ika double untuntu benchmark test mara elfu. bado umuhimu wa external utaonekana tu in some aspects..
 
Ku compare specs za internal memory na external memory always internal itashinda, lakini uhitaji wa external memory bado utabaki pale pale.
Manufactures wanajitahidi kila siku kuimalisha internal storage zao apart from capacity but also quality, kwasabu ikiharibika internal memory kosa linakua ni lakwao and they have to repair.

Unachokifanya hapa niku compare internal memory versus external wakati swala ni uhitaji external memory slot, ata kama internal ingekua 1000MBps na ika double untuntu benchmark test mara elfu. bado umuhimu wa external utaonekana tu in some aspects..

why tunaeka sd card? kwanini pc zetu hatueki sd card? tunaeka sd card sababu internal inakuwa haitoshi. unapopewa internal memory gb 128 why utafute slow sd card ili upunguze perfomance ya simu?

kuna usb otg chomeka flash, chomeka external na unachopenda wewe kama utahitaji storage zaidi ya kuhifadhia vitu
 
Mkuu atakae kubishia ni mwendawazimu

Mkuu mama yako alikufundisha tabia njema tu, heshima sio kwa unaolala nao na wanaokuzunguka tu ata kwa usiwajua kwenye mtandao..
Na jinsi yakubehave politely on the cyber space haitaji degree wala masters.
For that fact if disagreeing with reasonably point means uwendawazimu, then damn right i'm kichaa.
 
Hii simu ipo next level haifanani na simu yoyote duniani. na cha kuumiza roho zaidi ni kwamba vitu vyote vinavyoifanya hii simu kuwa special vinatoka ndani ya samsung si vitu vya nje ambavyo kila oem anaweza kuwa navyo.

-Processor ya exynos inayokuja na s6 imedestroy processor zote za simu including snapdragon 810. officially ndio simu yenye speed zaidi duniani na toka note 4 samsung wamehitahidi kuifanya touchwiz nyepes.
-Very fast memory hivyo itafanya matumizi ya simu na multitasking kuwa smooth


Lol and for the first time nimeona simu ikigonga 30 fps. Habari nzuri kwa gamers wa android atleast na nyie mfunguke macho kidogo.

Mnazi wa samsung itakuwa umefurahishwa hapa. I agree with you kwenye vitu vingi kuhusu hii simu ingawa kwenye suala la design inabidi wakubali tu kuambiwa wamecopy iphone, zinafanana sana
 
Simu iko poa wanaosema kaiga iphone 6 ni wivu tu

Kukimbilia kusema ni wivu ni ishara ya kukosa hoja za msingi. Mi sipendi samsung wala iphone (mi ni lumia tu), ila kwenye design Samsung lazima wataeleweka wamecopy, the two devices look very similar to each other, hasa walivyoweka speaker, headphone jack na charging port. kama huzijui unaweza sema designer wao ni mmoja.
 
Mnazi wa samsung itakuwa umefurahishwa hapa. I agree with you kwenye vitu vingi kuhusu hii simu ingawa kwenye suala la design inabidi wakubali tu kuambiwa wamecopy iphone, zinafanana sana

duh mi na samsung wapi na wapi kaka? naongea ninachokielewa tu.

point yangu ni kwamba apple pia kacopy hio design so wote samsung na apple wanaingia kwenye kundi la copy and paste.

iphone 4 ilifeli vibaya mno kwenye suala la signal sababu apple walieka aluminium ya nje kama antena. mwaka 2013 htc na nokia wakatoa style ya kutengeneza simu ya alluminium na papi za plastic kwq ajili ya signal reception. iphone akaiga hio style kwenye iphone 6 na s6 pia ikafata trend. so wote ni wahanga. pia iphone 6 ina element nyingi za fabula ya n9
 
Sumsung nao,juzijuzi walikuwa na sumsung s5,note 4 na leo s6 kesho utasi kia s7 nakadhalika.

Hiyo kampuni hapo kwenye red inapatikana PYONGHONG , jirani na SHONGBONG BING.... Tofauti na hii inayozungumziwa hapa inayoitwa SAMSUNG..
 
Ngoja nifanye comparison yangu kwanza then nitarudi
 
why tunaeka sd card? kwanini pc zetu hatueki sd card? tunaeka sd card sababu internal inakuwa haitoshi. unapopewa internal memory gb 128 why utafute slow sd card ili upunguze perfomance ya simu?

kuna usb otg chomeka flash, chomeka external na unachopenda wewe kama utahitaji storage zaidi ya kuhifadhia vitu
memory card ni muhimu sana kwenye smartphones. HTC hawakuona umuhimu wa memory cards kwenye matoleo yao ya 'makali' ya nyuma (ukiacha One Max) tukianza na One S, One X, X+, One M7, M8 etc lakini mwezi huu wanatoa HTC One M9 ambayo inakuja na internal 32GB pamoja na uwezekano wa kuweka Memory Card upto 128GB. Finally wameona umuhimu!!Sasa wenzao Samsung wamekuwa wakitoa simu zenye memory cards lakini mwezi huu wameachia S6 isiyokuwa na Memory Card. Wameamua kuwaigiliza kina Apple (iPhone) kuanzia shape ya simu mpaka kutokupokea Memory Card!!
 
duh mi na samsung wapi na wapi kaka? naongea ninachokielewa tu.

point yangu ni kwamba apple pia kacopy hio design so wote samsung na apple wanaingia kwenye kundi la copy and paste.

iphone 4 ilifeli vibaya mno kwenye suala la signal sababu apple walieka aluminium ya nje kama antena. mwaka 2013 htc na nokia wakatoa style ya kutengeneza simu ya alluminium na papi za plastic kwq ajili ya signal reception. iphone akaiga hio style kwenye iphone 6 na s6 pia ikafata trend. so wote ni wahanga. pia iphone 6 ina element nyingi za fabula ya n9

Hahaa, declare interest basi. Anyway watu wengi wataangalia simu iliyotoka kabla ya hiyo, na hivyo ni rahisi kusema amecopy apple kuliko kusema amecopy n9. Sikatai wote wamewahi kucopy ila point yangu sasa inaonekana bado ni valid kuwa kuna kila dalili samsung amekopi, angalau kwa muonekano wa haraka haraka ambao ndo watu wengi wataona.
 
duh mi na samsung wapi na wapi kaka? naongea ninachokielewa tu.

point yangu ni kwamba apple pia kacopy hio design so wote samsung na apple wanaingia kwenye kundi la copy and paste.

iphone 4 ilifeli vibaya mno kwenye suala la signal sababu apple walieka aluminium ya nje kama antena. mwaka 2013 htc na nokia wakatoa style ya kutengeneza simu ya alluminium na papi za plastic kwq ajili ya signal reception. iphone akaiga hio style kwenye iphone 6 na s6 pia ikafata trend. so wote ni wahanga. pia iphone 6 ina element nyingi za fabula ya n9

Ku copy material hiyo ni kwa kila kampuni zote zitakuwa zimekopy toka kwa first movers , mfano tunaposema chip zote zimetengenezwa kwa semi conductor material haimaanishi wame copy from each other , au kila mtu kutumia gorilla glass hiyo ni issue ya material used .. suala la jamaa kucopy hapo halina ubishi maana samsung kakopi design ya apple mwanzo mwisho ... patents ngapi apple kashinda kwa samsung ? vividly speaking sumsung wana safari ndefu sana kuwafikia apple ndo maana iphone zinauza sana kuliko samsung ni kwa sababu apple wana vision kali ambapo sasa imefika kipindi samsung wameonekana nao ni wale wa "me too companies " hawana tena ujanja wa ziada .. ilivotoka iphone 6 ilikuwa amazing phone kwa kuwa ilikuwa na vitu tofauti ukiachana na vitu normal ambavyo tumevizoea .. kwa kifupi tu weka kuanzoa iphone 4 mpaka iphone 6 linganisha na sim za samsung utaona design zote za samsung zilizopita zinaonekana kama old model na hazitamaniki compared na za apple . .

Finally: east west jamaa wame copy kabisa na wengi mmekubali ila indirectly eti " mbona ba apple nao wali copy ?? " kwa hii sentence inaonesha mnakubaliana na mleta mada 100%
 
Kinachonifanya ni-stick na iphone ni ios yake. Ilivyo smooth and faster hata kama imejaa sana.

Pia ecosystem ya apple is beyond comparison, their designs are such state of art.

Samsung hawawezi kuniafanya nivutiwe na simu zao simply because of android. I have seen lots of people suffering with their phones stuck or missbehaving.

I'm a bigger fan of nokia lumia though i'm using iphone.

I expect to get back soon to NL.
 
duh mi na samsung wapi na wapi kaka? naongea ninachokielewa tu.

point yangu ni kwamba apple pia kacopy hio design so wote samsung na apple wanaingia kwenye kundi la copy and paste.

iphone 4 ilifeli vibaya mno kwenye suala la signal sababu apple walieka aluminium ya nje kama antena. mwaka 2013 htc na nokia wakatoa style ya kutengeneza simu ya alluminium na papi za plastic kwq ajili ya signal reception. iphone akaiga hio style kwenye iphone 6 na s6 pia ikafata trend. so wote ni wahanga. pia iphone 6 ina element nyingi za fabula ya n9

Dah! Kumbe ndio maana iphone 4 yangu ni very weak kwa signal. Natumia s4 na iphone 4 lakini s4 inaizidi sana iphone 4 kwa signal.
 
Mkuu mama yako alikufundisha tabia njema tu, heshima sio kwa unaolala nao na wanaokuzunguka tu ata kwa usiwajua kwenye mtandao..
Na jinsi yakubehave politely on the cyber space haitaji degree wala masters.
For that fact if disagreeing with reasonably point means uwendawazimu, then damn right i'm kichaa.

Walewale
 
Back
Top Bottom