Hakuna cha kunusuru chama hapa
Huwezi ukatoka nje ya utaratibu na then utegemee refa wa mchezo akuachie tuu kwa vile ukitolewa nje mchezo utaharibika
Na kupambana na refa unajua adhabu yake ni kutolewa kwa kadi nyekundu tuu na unatolewa nje ya uwanja kabisa
Sasa huko nje ya uwanja katafakari na ujione ni wapi ulikosea na kisha urudiufuate sheria za mchezo na sio kujiamulia tuu kucheza rough zako ambazo kisheria hazipo
Iwapo una malalamiko kuna waamuzi mpaka wa akiba na una meneja wako na kocha wako nenda kalalamike huko na nahodha wa mpira pia yupo lalamika kwake ya nini kulalamika kwa watazamaji ambao hawatakusaidia lolote
Mr Rocky, Huyu Mwigamba ananishangaza sana...!Kama ulivyosema hayo malalamiko yake kwa nini asingeyatolea ndani ya uwanja wa mapambano...?Sasa yuko nje ya uwanja anababwaja hivi yeye kama mwanasiasa aliyekomaa,ameona wapi hapa duniani mwanasiasa akasaliti chama chake au viongozi wake na wanachama wenzake,halafu akategemea kufanya mabadiliko akiwa nje ya uwaja wa mapambano hata kama Hoja zake ni za msingi...? ETHIC za uongozi wa chama amezipuuza makusudi kwa usaliti,anategemea nini.....???
===> Analalamika KATIBA imechakachuliwa,kwa vipegele vya uchaguzi kunyofolewa hivyo kuwafanya akina Mbowe kuendelea kukaa madarakani...! Ok,na atupe ushahidi wa (kimaandishi) maamuzi ya vikao vilivyopitisha hayo madai yake...?
===> Anadai Mheshimiwa Mbowe pamoja na kazi nzuri waliofanya katika uongozi wao,sasa UWEZO wao umeshuka(Deteriorate)licha ya mafanikio makubwa sana uongozi ulivyofanya.....! Ok,siku ya majanga ilipompata alianza kuwasifia viongozi hivyo hivyo, kwa nini asingeunganisha na hili takwa lake au mtazamo wake kuwa wao viogozi sasa WAMECHOKA (they can't deliver anymore)hapohapo kwenye kikao ili kuzidi kukiboresha Chama kama kweli anania hiyo,badala ya kuzungumza tena kwa kujificha kwenye mitandaoooo....????? This GUY,why so....!
Atuambie ametumia vigezo gani kupima na kuthibitisha KUCHOKA KWA UONGOZI ndani ya Chadema....???
====> Look anadai kuwa hata member wengine ndani ya Chadema (likely viongozi)kuwa nao wanatumia ID fake kama yeye alivyotumia hivyo anataka (justify)kuhalalisha ujinga wake aliofanya hivyo apate (cover-up)sitara kwa uvunjaji sheria,maadili,ya uongozi....????? What a mess is this guy...?
Hakumbuki Mkuu wa Kaya aliwahi kusama "Akili ya kuambiwa,kusikia ,kuona,.....changanya na ya kwako"kabla hujafanya uamuzi. Yeye anaja Miiko na Maadili ya Uongozi kwa kuwa Boss wako anavunja sheria na wewe unavunja.....?????? How such a guy became a Reginal Party Chairman....??? Cowardly.
====> Asiyekuwa mwaminifu kwa jambo dogo;hata kwa jambo kubwa hafai.
CHADEMA kipindi hiki kuelekea Uchaguzi Mkuu tuwe waangalifu sana kwa mambo kama haya.Mengi yatajitokeza,hivyo TUKESHE NA KUWA MACHO.
Bravo CHADEMA.