Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania iko tayari kumuunga mkono Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, katika juhudi za kuimarisha amani na usalama katika ukanda wa nchi za Maziwa Makuu, kufuatia nafasi yake kama mwenyekiti wa jumuiya hiyo.
Rais Samia amesema hayo leo Jumamosi, Februari 7, 2026 wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya mazungumzo yake na Rais Museveni, Ikulu ya Dar es Salaam.
"Rais Museveni sasa hivi ni mwenyekiti wa nchi za Maziwa Makuu ana mkakati wa kuanza mazungumzo ya kuleta usalama ndani ya Maziwa Makuu, na sisi Tanzania tumemwambia tunamuunga mkono na tuko tayari kumsaidia atakavyoona inafaa katika jambo hilo," amesema Rais Samia.
Rais Samia amesisitiza kuwa, Tanzania itaendelea kushirikiana kikamilifu na nchi wanachama wa ukanda wa Maziwa Makuu katika kuhakikisha kunakuwepo na utulivu wa kudumu, akibainisha kuwa amani ni msingi wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa nchi za eneo hilo.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania iko tayari kumuunga mkono Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, katika juhudi za kuimarisha amani na usalama katika ukanda wa nchi za Maziwa Makuu, kufuatia nafasi yake kama mwenyekiti wa jumuiya hiyo.
Rais Samia amesema hayo leo Jumamosi, Februari 7, 2026 wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya mazungumzo yake na Rais Museveni, Ikulu ya Dar es Salaam.
"Rais Museveni sasa hivi ni mwenyekiti wa nchi za Maziwa Makuu ana mkakati wa kuanza mazungumzo ya kuleta usalama ndani ya Maziwa Makuu, na sisi Tanzania tumemwambia tunamuunga mkono na tuko tayari kumsaidia atakavyoona inafaa katika jambo hilo," amesema Rais Samia.
Rais Samia amesisitiza kuwa, Tanzania itaendelea kushirikiana kikamilifu na nchi wanachama wa ukanda wa Maziwa Makuu katika kuhakikisha kunakuwepo na utulivu wa kudumu, akibainisha kuwa amani ni msingi wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa nchi za eneo hilo.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania iko tayari kumuunga mkono Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, katika juhudi za kuimarisha amani na usalama katika ukanda wa nchi za Maziwa Makuu, kufuatia nafasi yake kama mwenyekiti wa jumuiya hiyo.
Rais Samia amesema hayo leo Jumamosi, Februari 7, 2026 wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya mazungumzo yake na Rais Museveni, Ikulu ya Dar es Salaam.
"Rais Museveni sasa hivi ni mwenyekiti wa nchi za Maziwa Makuu ana mkakati wa kuanza mazungumzo ya kuleta usalama ndani ya Maziwa Makuu, na sisi Tanzania tumemwambia tunamuunga mkono na tuko tayari kumsaidia atakavyoona inafaa katika jambo hilo," amesema Rais Samia.
Rais Samia amesisitiza kuwa, Tanzania itaendelea kushirikiana kikamilifu na nchi wanachama wa ukanda wa Maziwa Makuu katika kuhakikisha kunakuwepo na utulivu wa kudumu, akibainisha kuwa amani ni msingi wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa nchi za eneo hilo.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania iko tayari kumuunga mkono Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, katika juhudi za kuimarisha amani na usalama katika ukanda wa nchi za Maziwa Makuu, kufuatia nafasi yake kama mwenyekiti wa jumuiya hiyo.
Rais Samia amesema hayo leo Jumamosi, Februari 7, 2026 wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya mazungumzo yake na Rais Museveni, Ikulu ya Dar es Salaam.
"Rais Museveni sasa hivi ni mwenyekiti wa nchi za Maziwa Makuu ana mkakati wa kuanza mazungumzo ya kuleta usalama ndani ya Maziwa Makuu, na sisi Tanzania tumemwambia tunamuunga mkono na tuko tayari kumsaidia atakavyoona inafaa katika jambo hilo," amesema Rais Samia.
Rais Samia amesisitiza kuwa, Tanzania itaendelea kushirikiana kikamilifu na nchi wanachama wa ukanda wa Maziwa Makuu katika kuhakikisha kunakuwepo na utulivu wa kudumu, akibainisha kuwa amani ni msingi wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa nchi za eneo hilo.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania iko tayari kumuunga mkono Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, katika juhudi za kuimarisha amani na usalama katika ukanda wa nchi za Maziwa Makuu, kufuatia nafasi yake kama mwenyekiti wa jumuiya hiyo.
Rais Samia amesema hayo leo Jumamosi, Februari 7, 2026 wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya mazungumzo yake na Rais Museveni, Ikulu ya Dar es Salaam.
"Rais Museveni sasa hivi ni mwenyekiti wa nchi za Maziwa Makuu ana mkakati wa kuanza mazungumzo ya kuleta usalama ndani ya Maziwa Makuu, na sisi Tanzania tumemwambia tunamuunga mkono na tuko tayari kumsaidia atakavyoona inafaa katika jambo hilo," amesema Rais Samia.
Rais Samia amesisitiza kuwa, Tanzania itaendelea kushirikiana kikamilifu na nchi wanachama wa ukanda wa Maziwa Makuu katika kuhakikisha kunakuwepo na utulivu wa kudumu, akibainisha kuwa amani ni msingi wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa nchi za eneo hilo.
Kagame na Tsishekedi wameona ni porojo tu zinaendelea wakeenda kupatanishwa na Trump, na bado hawajapatana kinawaka, ndio itakuwa haya majizi ya kura yawapatinishe?
Hapa Mwanza walikuwepo polisi wa Uganda na walishiri kuua watu kwa risasi na baadhi yao walikuja kuuwawa na wanajeshi wa JWTZ. Usitetee ujinga watu bado tuna machungu maiti za ndugu zetu hadi leo hatujazipata.
Hapa Mwanza walikuwepo polisi wa Uganda na walishiri kuua watu kwa risasi na baadhi yao walikuja kuuwawa na wanajeshi wa JWTZ. Usitetee ujinga watu bado tuna machungu maiti za ndugu zetu hadi leo hatujazipata.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania iko tayari kumuunga mkono Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, katika juhudi za kuimarisha amani na usalama katika ukanda wa nchi za Maziwa Makuu, kufuatia nafasi yake kama mwenyekiti wa jumuiya hiyo.
Rais Samia amesema hayo leo Jumamosi, Februari 7, 2026 wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya mazungumzo yake na Rais Museveni, Ikulu ya Dar es Salaam.
"Rais Museveni sasa hivi ni mwenyekiti wa nchi za Maziwa Makuu ana mkakati wa kuanza mazungumzo ya kuleta usalama ndani ya Maziwa Makuu, na sisi Tanzania tumemwambia tunamuunga mkono na tuko tayari kumsaidia atakavyoona inafaa katika jambo hilo," amesema Rais Samia.
Rais Samia amesisitiza kuwa, Tanzania itaendelea kushirikiana kikamilifu na nchi wanachama wa ukanda wa Maziwa Makuu katika kuhakikisha kunakuwepo na utulivu wa kudumu, akibainisha kuwa amani ni msingi wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa nchi za eneo hilo.
Kagame na Tsishekedi wameona ni porojo tu zinaendelea wakeenda kupatanishwa na Trump, na bado hawajapatana kinawaka, ndio itakuwa haya majizi ya kura yawapatinishe?
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania iko tayari kumuunga mkono Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, katika juhudi za kuimarisha amani na usalama katika ukanda wa nchi za Maziwa Makuu, kufuatia nafasi yake kama mwenyekiti wa jumuiya hiyo.
Rais Samia amesema hayo leo Jumamosi, Februari 7, 2026 wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya mazungumzo yake na Rais Museveni, Ikulu ya Dar es Salaam.
"Rais Museveni sasa hivi ni mwenyekiti wa nchi za Maziwa Makuu ana mkakati wa kuanza mazungumzo ya kuleta usalama ndani ya Maziwa Makuu, na sisi Tanzania tumemwambia tunamuunga mkono na tuko tayari kumsaidia atakavyoona inafaa katika jambo hilo," amesema Rais Samia.
Rais Samia amesisitiza kuwa, Tanzania itaendelea kushirikiana kikamilifu na nchi wanachama wa ukanda wa Maziwa Makuu katika kuhakikisha kunakuwepo na utulivu wa kudumu, akibainisha kuwa amani ni msingi wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa nchi za eneo hilo.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania iko tayari kumuunga mkono Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, katika juhudi za kuimarisha amani na usalama katika ukanda wa nchi za Maziwa Makuu, kufuatia nafasi yake kama mwenyekiti wa jumuiya hiyo.
Rais Samia amesema hayo leo Jumamosi, Februari 7, 2026 wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya mazungumzo yake na Rais Museveni, Ikulu ya Dar es Salaam.
"Rais Museveni sasa hivi ni mwenyekiti wa nchi za Maziwa Makuu ana mkakati wa kuanza mazungumzo ya kuleta usalama ndani ya Maziwa Makuu, na sisi Tanzania tumemwambia tunamuunga mkono na tuko tayari kumsaidia atakavyoona inafaa katika jambo hilo," amesema Rais Samia.
Rais Samia amesisitiza kuwa, Tanzania itaendelea kushirikiana kikamilifu na nchi wanachama wa ukanda wa Maziwa Makuu katika kuhakikisha kunakuwepo na utulivu wa kudumu, akibainisha kuwa amani ni msingi wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa nchi za eneo hilo.