Samia ndio Rais Pekee Aliyetoa Ajira Nyingi Zaidi katika Historia ya Tanzania

Samia ndio Rais Pekee Aliyetoa Ajira Nyingi Zaidi katika Historia ya Tanzania

Samia ndio Rais Aliyetoa Ajira Nyingi Kwa Wananchi Kuliko Rais mwingine Yeyote Katika Historia ya Tanzania.

Yaani Toka 2021 amekuwa anamwaga maelfu ya Ajira Kila mwaka Kwa Vijana kiasi kwamba kuwakuta jobless mtaani imekuwa nadra sana.Pia Soma (1) Rais Samia Ni Mwamba Kwelikweli Na Chaguo La Mungu. Atoa Kibali kingine cha Ajira Elfu 41,500 | JamiiForums Rais Samia Ni Mwamba Kwelikweli Na Chaguo La Mungu. Atoa Kibali kingine cha Ajira Elfu 41,500

Jakaya alitoa Ajira lakini Mama Samia ametisha sana aisee.

Hapa ndipo Ile Kauli ya Nabii haikubaliki nyumbani inabamba.

View: https://www.threads.com/@kajenjere_media/post/DU2lnjmjHpD?xmt=AQF0tPTE_eb0qsmuIoJPoLsTjbr5715pvG3cnoP8bEAw7skMZXAq8sCKZPNkpsnvcGYannI&slof=1

Huwa tunawakumbuka wakishastaafu
 
Back
Top Bottom