Samia Complex Kujengwa Ndani ya Ikulu ya Chamwino Dodoma

Samia Complex Kujengwa Ndani ya Ikulu ya Chamwino Dodoma

Mi kwa uduanzi wangu nilijua ikulu ninya Rais na timu yake sasa mara.zanzibar , east africa mara sadc sasa hii ni ikulu ya jumuia za africa au ? Hata ile scrutiny ya kuingia na kutoka itakuwa haina maana
 
Hilo wazo zuri. Lakini kama lengo ni legacy, ni vizuri Rais akashauriwa akamilishe zoezi la Katiba. Haya mengine kuyakamilisha au kubuni mengine katika awamu yake ya uongozi ni sawa lakini babalao ni Katiba. Hiyo ndiyo itakuwa alama yake ya dhahabu kisiasa isiyofifia.
 
Hilo wazo zuri. Lakini kama lengo ni legacy, ni vizuri Rais akashauriwa akamilishe zoezi la Katiba. Haya mengine kuyakamilisha au kubuni mengine katika awamu yake ya uongozi ni sawa lakini babalao ni Katiba. Hiyo ndiyo itakuwa alama yake ya dhahabu kisiasa isiyofifia.
Katiba utakamikisha wewe
 
Hiyo ni nzuri Sana Sasa waje na ramani Bora na za kisasa sio hizi mara historia unarudiarudia vitu vya wakoloni
 
Ndio hivyo wewe unajua unatakaje au ndio unajamba hovyo Kwa kushinda maharage huko uliko? [emoji16][emoji16]
Mleta uzi huna Adabu, Kauli zako chafu sana. Hata kama ni uchawa basi tumia lugha nzuri utateuliwa tu.
 
Ubunifu mzuri Sana .congole kwako mama SSH.tunataka viongozi wenye vision Kama hivi!!
 
Back
Top Bottom