Samia Complex Kujengwa Ndani ya Ikulu ya Chamwino Dodoma

Samia Complex Kujengwa Ndani ya Ikulu ya Chamwino Dodoma

Sina tatizo sana na ujenzi ukiwa umelenga kuboresha mambo, nina tatizo kubwa mnoo na hilo jina la Samia complex. Huku ni kulazimisha legacy kwa kujipendelea. Hayo majina wapewe viongozi waliokufa na waliobeba hayo maono.
Kama Nani? Kwamba tuwape HESHIMA waliokufa? Ni haki yake mama apewe maua yake angali hai
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sawa kilaza
20230521_074021.jpg
 
Katika vipao mbele vya ujenzi wa miladi hapa nchini, samia complex ipo namba ngap? Ukiachana na hilo, viongozi muache kasumba ya kuvipa majina yenu binafsi vitu na mali za nchi.
 
Katika vipao mbele vya ujenzi wa miladi hapa nchini, samia complex ipo namba ngap? Ukiachana na hilo, viongozi muache kasumba ya kuvipa majina yenu binafsi vitu na mali za nchi.
Soma maelezo kwenye attachment hapo Mwanzo .

Pili Ikulu haijakamilika,maelfu ya ekari zile sio mashamba
 
Nitajie hiyo mitaa ya Kila Kijiji ,nataka mitaa 5
Mkuu usikaze Shingo. Sipingi hiyo samia complex,ila ukitaka nikutajie mitaa ya tutajaza server humu.. Amini kila mkoa kila wilaya na kila kata na kijiji,kulipowekwa vibao vya anuani kuna jina LA samia. Nchi nzima
 
Sina tatizo sana na ujenzi ukiwa umelenga kuboresha mambo, nina tatizo kubwa mnoo na hilo jina la Samia complex. Huku ni kulazimisha legacy kwa kujipendelea. Hayo majina wapewe viongozi waliokufa na waliobeba hayo maono.
Hata yeye atakufa pia. Unaweza kusema kafanya booking ya jina lake kutumika akiwa mfu in advance.
 
Mkuu usikaze Shingo. Sipingi hiyo samia complex,ila ukitaka nikutajie mitaa ya tutajaza server humu.. Amini kila mkoa kila wilaya na kila kata na kijiji,kulipowekwa vibao vya anuani kuna jina LA samia. Nchi nzima
Na hakika haipo maana Mimi sijawahi ona mtaa hata mmja wa jina la Rais labda shule ambazo hazizidi hata 3 Sasa wewe hayo unayoongea umeyatoa wapi? Mpaka hapo unapinga
 
Mkuu are you serious,kwamba hujawai ona barabara au mitaa ya samia? Unaishi wapi au una ulemavu wa macho.
Na hakika haipo maana Mimi sijawahi ona mtaa hata mmja wa jina la Rais labda shule ambazo hazizidi hata 3 Sasa wewe hayo unayoongea umeyatoa wapi? Mpaka hapo unapinga
 
Nani Alimshauri Jiwe aite Mji wa Serikali Mtumba Magufuli City?
Chuki na wivu ,Je hapo ingeitwa Kikwete ingekuaje? [emoji16][emoji16]

Nenda ukafute basi jina likiandikwa [emoji23][emoji23]
Kwa iyo km magufuli alikosea tuendelee kuacha wengine wakosee?akili za watanzania bwana sijui lini tutabadilika
 
Hivi bunge limepitisha huo mpango au ni maamuzi ya watu wachache tu?
 
Back
Top Bottom