Samia Complex Kujengwa Ndani ya Ikulu ya Chamwino Dodoma

Samia Complex Kujengwa Ndani ya Ikulu ya Chamwino Dodoma

Kwanini wasingeiita Magufuli Complex ?

20230429_162431.jpg
 
Mkuu are you serious,kwamba hujawai ona barabara au mitaa ya samia? Unaishi wapi au una ulemavu wa macho.
Binafsi sijawahi ona seriously ndio maana nakukatalia..

Barabara nyingi Zina majina ya Nyerere kidogo na JK.
 
Kwa iyo km magufuli alikosea tuendelee kuacha wengine wakosee?akili za watanzania bwana sijui lini tutabadilika
Hakuna makosa yoyote by the way,tena Bora majengo ya ndani yaitwa majina ya Viongozi kuliko kuota Mji wa Serikali Magufuli City
 
Kila rais akiingia madarakani anaanzisha miradi ya kupachika jina lake, hivi hii nchi ni mali ya wanasiasa tu?
Unaweza anzisha miradi ya Bora liende? Maelfu ya ekari za eneo la Ikulu ni Kwa Ajili ya kuotesha matikiti au?
 
Back
Top Bottom