Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
Mkuu Kifyatu, kwanza asante katika concern yako kuhusu ubora na ustadi wa thamani za Ikulu yetu!.
Kwenye utumishi wa umma, kuna kitu kinaitwa Standing Orders, ambazo ndizo kanuni za uendeshaji wa serikali.
Kwenye kanuni hizo, serikali mpya ikiingia madarakani, thamani zote zinabadilishwa kuendana na taste ya awamu mpya!, na sio thamani tuu, hatu magari!, bajeti hiyo iliishatengwa na awamu iliyotangulia!.
Hili sii kwa rais tuu bali hata kwa wale wakuu 5, mawaziri, na wakuu wa vyombo vya dola!.
Wakati wa Mkapa, kampuni iliyo supply samani za Ikulu ni ile Gerry Supper Furnichers iliyopo pale Mlimani City, samani zake ni za kitanzania kwa asilimia 100% save for fabrics only na kiukweli ni nzuri!, mmiliki ni mama mjane fula alikuwa ni best na Mkapa na ndio Best Man na Matorn wa ndoa yao!, hivyo hata kama alipata tender kwa upendeleo maalum lakini ame deliver!.
Naunga mkono hoja ya kushindanisha ubunifu among the local producers the best design na good finishing ndio achukuliwe, ila amini usiamini hili likifanyika, makapuni yatakayoshinda yatakuwa yale yale ya nje yaliajiri local talents na kufanya finishing kwa mashine za kisasa kama kina Ocean Kiss, Cleopatra, Carwin etc ambao wao wana expot very high quality prroducts, viwanda vyetu vya kina fundi Magungo pale Keko tutabaki tukikodoa tuu macho!.
VETA, JKT na Magereza wanatengeneza samani nzuri tuu ila kwenye ubunifu ni finishing, hawawezi kucompete na Wachina wa Ocean Kiss, wa Misri wa Cleopatra, Wa Lebanon wa Derma au wale wazungu walioko njia ya Coca cola!.
The way forward ni kwa seikali yetu kuyalazimisha mabenki yetu yatoe mikopo ya modern finishing equipments kwa wazalishaji samani wazawa ili tuzalishe ile ile quality ya ready made! na hitaji la kuilazimu serikali kununua samani za local pia liwekwe kwenye standing orders!.
Pasco
Pasco unaonyesha unajua mengi ila habari yako haijakamilika. Umesema wakati wa Mkapa ni local supplier alipewa tender hiyo. Jee wakati wa JK hiyo tender alipewa nani? Tusiruke habari hapo kati na kujsadili ya sasa tutapoteza mtiririko
Last edited by a moderator: