Ilo ua la mezan ndio kabisa, na curtains sijui nani aliwaambia hiyo colour ndio nzur. Nyanya je kupita chini sio kuhatarisha maisha?
Ukweli ikulu ndio ofisi kuu tunapaswa kuipamba ivutie na sio kuweka tuu vitu kama kwamba ni lazima viwepo. Kuna maua mazuri ya mezani Bora hata wangeweka maua Kilimanjaro.
Sio kochi tuu. Decor yote ni.mbovu. hebu angalia Pazia , rangi ya ukuta shuka Adi kwenye kochi na hizo pillow zake afu tua jicho kwenye iyo table na ilo ua la kichina . Kwel interior design and decor imetulia?
Ua la mchina hata kule kijijin kwetu siku hizi hatuya pambii tena jaman
Hata kama baba jesca anabana matumizi lkn hawa wanaohusika wanakosea
mkuu nimekuelewa sana, Sasa hawa TCCIA wanakazi gani?
Nimefuatiliainaonekana tanzania kupeleka vitu huko tulishuka kutoka 18.8% mwaka 2000 hadi around 5% hivi karibuni kabla ya kusainiwa mkataba mpya na Obama 2015. Wkati huohuo kenya ikapanda kutoka 56% hadi 95%.
Tatizo ni nini hapa, maana hii fursa ingeweza kututoa kwa spidi kubwa
Endelea kuwatukuza, umewapandisha jukwaani Sasa wanakukojolea kichwani unaishia kulalama jf.
Kila kitu kinaamuliwa na mtu Fulani ambae hata Kodi halipi
Rais anazipenda sofa hizo za keko na zile za Magereza wewe shida yako nini....tumeridhika na ufundi wetu Tanzania na tutaendelea kuboresha taaluma yetu siku hadi siku
Baada ya Krisimasi naomba tufanye soga zisizokuwa na hapa wala pale.
Najua Mh. Raisi atakuwa amesisitiza kuwa samani mpya za ikulu zinunuliwe hapa hapa Tanzania lakini basi wabongo tujitahidi kidogo katika matengenezo.
Licha ya kuwa rangi ya haya masofa hainivutii (earthtones, kama rangi ya ugoro ingefaa zaidi) lakini huu ufanisi wa matengenezo umekaa kama ni wa wanafunzi wa kutengeneza samani. Angalia hiyo misumari inayomeremeta ilivyokuwa haiko kwenye mstari ulionyooka.
Kwa kifupi utengenezaji wake ni dhaifu sana hivyo kwamba mimi, pamoja na umasikini wangu huu, ningepewa hayo makochi bure ningechukua shingo upande.
Ikulu jamani tuwaunge mkono wajasiriamali wa kibongo lakini tusisitize ufanisi. Unadhani ni nchi gani ya jirani itakayokuja Tanzania kununua samani za ikulu yao zinazoonekana kama hizi.
Haya, punguzeni shibe ya x-mass kwa maoni yenu.
**************************************************** NYONGEZA
Tunachokionesha hadharani ikulu ni tangazo kwa dunia nzima kuhusu ufanisi wetu katika tasnia mbalimbali.
Makochi ya ikulu ni tangazo la tasnia ya useremala na upambaji (upholstery) wa samani hapa Tanzania. Tuwe makini na tunavyojitangaza.
Kama mimi ningekuwa katibu mkuu bwana Ombeni Sefue ningefanya hivi:
Ningemuuliza Rais kama anapendezwa na makochi yaliyopo sasa ikulu.
Akisema "Haya yanafaa kabisa na sitaki kusikia kitu kingine", basi nitaufyata.
Akisema nakuachia wewe uitangaze hii tasnia duniani, basi nitawaita watengenezaji wote wa samani Tanzania na kuwapa changamoto waje na design zao nzuri, na itakayoshinda itaipamba ikulu. Kampuni itayaoshinda ikishirikiana na Interior decorator/designer wa ikulu, First Lady, na pengine na Rais itatuletea makochi ya ikulu yatakayoitangaza tasnia hii ulimwenguni.
Kwani zikipendeza ndio madawa yataongezeka mahospitalini? We naona utakuwa ulikosa ulaji Wa kuagiza hayo masofa toka China, ulaji wakapewa walahalahoi pale keko, we tulia tu uisome namba[/QUOTEhaihusiani we are not that poor...Ikulu ndio sebule ya Tz...
Baada ya Krisimasi naomba tufanye soga zisizokuwa na hapa wala pale.
Najua Mh. Raisi atakuwa amesisitiza kuwa samani mpya za ikulu zinunuliwe hapa hapa Tanzania lakini basi wabongo tujitahidi kidogo katika matengenezo.
Licha ya kuwa rangi ya haya masofa hainivutii (earthtones, kama rangi ya ugoro ingefaa zaidi) lakini huu ufanisi wa matengenezo umekaa kama ni wa wanafunzi wa kutengeneza samani. Angalia hiyo misumari inayomeremeta ilivyokuwa haiko kwenye mstari ulionyooka.
Kwa kifupi utengenezaji wake ni dhaifu sana hivyo kwamba mimi, pamoja na umasikini wangu huu, ningepewa hayo makochi bure ningechukua shingo upande.
Ikulu jamani tuwaunge mkono wajasiriamali wa kibongo lakini tusisitize ufanisi. Unadhani ni nchi gani ya jirani itakayokuja Tanzania kununua samani za ikulu yao zinazoonekana kama hizi.
Haya, punguzeni shibe ya x-mass kwa maoni yenu.
**************************************************** NYONGEZA
Tunachokionesha hadharani ikulu ni tangazo kwa dunia nzima kuhusu ufanisi wetu katika tasnia mbalimbali.
Makochi ya ikulu ni tangazo la tasnia ya useremala na upambaji (upholstery) wa samani hapa Tanzania. Tuwe makini na tunavyojitangaza.
Kama mimi ningekuwa katibu mkuu bwana Ombeni Sefue ningefanya hivi:
Ningemuuliza Rais kama anapendezwa na makochi yaliyopo sasa ikulu.
Akisema "Haya yanafaa kabisa na sitaki kusikia kitu kingine", basi nitaufyata.
Akisema nakuachia wewe uitangaze hii tasnia duniani, basi nitawaita watengenezaji wote wa samani Tanzania na kuwapa changamoto waje na design zao nzuri, na itakayoshinda itaipamba ikulu. Kampuni itayaoshinda ikishirikiana na Interior decorator/designer wa ikulu, First Lady, na pengine na Rais itatuletea makochi ya ikulu yatakayoitangaza tasnia hii ulimwenguni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.