Samani za Ikulu zinanipa utata kidogo

Samani za Ikulu zinanipa utata kidogo

Ilo
Mimi binafsi siyapendi kabisa hayo makocha, hayana hadhi ya kuwa Ikulu. Nasisitiza mimi binafsi.
Ilo ua la mezan ndio kabisa, na curtains sijui nani aliwaambia hiyo colour ndio nzur. Nyanya je kupita chini sio kuhatarisha maisha?

Ukweli ikulu ndio ofisi kuu tunapaswa kuipamba ivutie na sio kuweka tuu vitu kama kwamba ni lazima viwepo. Kuna maua mazuri ya mezani Bora hata wangeweka maua Kilimanjaro.
 
Kama ninaishi nae basi nimempenda.
Kwangu mimi ni mzuri.

Lakini haya makochi hayana mvuto katika macho ya wengi.
Sio kochi tuu. Decor yote ni.mbovu. hebu angalia Pazia , rangi ya ukuta shuka Adi kwenye kochi na hizo pillow zake afu tua jicho kwenye iyo table na ilo ua la kichina . Kwel interior design and decor imetulia?

Ua la mchina hata kule kijijin kwetu siku hizi hatuya pambii tena jaman

Hata kama baba jesca anabana matumizi lkn hawa wanaohusika wanakosea
 
Mbona nzuri wenzetu nje wanapenda uwalisia tena na maganda yaonekane
 
Tatizo hawajatoka nje ya afrika wenzetu hawana mambo ya kuremba
 
mkuu nimekuelewa sana, Sasa hawa TCCIA wanakazi gani?
Nimefuatiliainaonekana tanzania kupeleka vitu huko tulishuka kutoka 18.8% mwaka 2000 hadi around 5% hivi karibuni kabla ya kusainiwa mkataba mpya na Obama 2015. Wkati huohuo kenya ikapanda kutoka 56% hadi 95%.
Tatizo ni nini hapa, maana hii fursa ingeweza kututoa kwa spidi kubwa
Mkuu unazungumzia takwim?? Si Ndio? Ees
 
kwani watu wanashindwa kuyakalia, au wakiyakalia yanawachomachoma kwa kifupi ikulu imeonyesha mfano wa kununua bidhaa za ndani
 
Makochi ya ikulu yanamsaidia nini mwananchi wa Tandahimba kujikwamua na umaskini?

Nonsense kutaka makochi ya ikulu yakuvutie, yawe mabaya yawe mazuri ni Kodi zetu zinaungua, hao mnaowataka wanunue makochi mazuri hata Kodi hawalipi, simply mnaomba pesa zenu zinunue vitu ghali zaidi ilihali hivyo vitu haviwasaidii lolote wananchi walipa Kodi.
 
Kuna Executive color acha dharau ww.....kochi kama za Keko.
Endelea kuwatukuza, umewapandisha jukwaani Sasa wanakukojolea kichwani unaishia kulalama jf.
Kila kitu kinaamuliwa na mtu Fulani ambae hata Kodi halipi
 
Acha upuuZi. Umeshindwa kulinganisha vitu vya msingi kat ya Tz na USA umekimbilia sofa.
 
kiti-miba.jpg
 
Kuna Executive color acha dharau ww.....kochi kama za Keko.
Rais anazipenda sofa hizo za keko na zile za Magereza wewe shida yako nini....tumeridhika na ufundi wetu Tanzania na tutaendelea kuboresha taaluma yetu siku hadi siku
 
Baada ya Krisimasi naomba tufanye soga zisizokuwa na hapa wala pale.

Najua Mh. Raisi atakuwa amesisitiza kuwa samani mpya za ikulu zinunuliwe hapa hapa Tanzania lakini basi wabongo tujitahidi kidogo katika matengenezo.

Licha ya kuwa rangi ya haya masofa hainivutii (earthtones, kama rangi ya ugoro ingefaa zaidi) lakini huu ufanisi wa matengenezo umekaa kama ni wa wanafunzi wa kutengeneza samani. Angalia hiyo misumari inayomeremeta ilivyokuwa haiko kwenye mstari ulionyooka.

Kwa kifupi utengenezaji wake ni dhaifu sana hivyo kwamba mimi, pamoja na umasikini wangu huu, ningepewa hayo makochi bure ningechukua shingo upande.

Ikulu jamani tuwaunge mkono wajasiriamali wa kibongo lakini tusisitize ufanisi. Unadhani ni nchi gani ya jirani itakayokuja Tanzania kununua samani za ikulu yao zinazoonekana kama hizi.

Haya, punguzeni shibe ya x-mass kwa maoni yenu.

****************************************************
NYONGEZA
Tunachokionesha hadharani ikulu ni tangazo kwa dunia nzima kuhusu ufanisi wetu katika tasnia mbalimbali.

Makochi ya ikulu ni tangazo la tasnia ya useremala na upambaji (upholstery) wa samani hapa Tanzania. Tuwe makini na tunavyojitangaza.

Kama mimi ningekuwa katibu mkuu bwana Ombeni Sefue ningefanya hivi:

Ningemuuliza Rais kama anapendezwa na makochi yaliyopo sasa ikulu.

  • Akisema "Haya yanafaa kabisa na sitaki kusikia kitu kingine", basi nitaufyata.
  • Akisema nakuachia wewe uitangaze hii tasnia duniani, basi nitawaita watengenezaji wote wa samani Tanzania na kuwapa changamoto waje na design zao nzuri, na itakayoshinda itaipamba ikulu. Kampuni itayaoshinda ikishirikiana na Interior decorator/designer wa ikulu, First Lady, na pengine na Rais itatuletea makochi ya ikulu yatakayoitangaza tasnia hii ulimwenguni.

Maya ya plastic! hakuna mtaalamu hapo!
 
Kwani zikipendeza ndio madawa yataongezeka mahospitalini? We naona utakuwa ulikosa ulaji Wa kuagiza hayo masofa toka China, ulaji wakapewa walahalahoi pale keko, we tulia tu uisome namba[/QUOTEhaihusiani we are not that poor...Ikulu ndio sebule ya Tz...
 
Hicho kijimeza hapo katikati kama cha dobi mpiga pasi au cha mgahawani kwa mama ntilie.
 
Baada ya Krisimasi naomba tufanye soga zisizokuwa na hapa wala pale.

Najua Mh. Raisi atakuwa amesisitiza kuwa samani mpya za ikulu zinunuliwe hapa hapa Tanzania lakini basi wabongo tujitahidi kidogo katika matengenezo.

Licha ya kuwa rangi ya haya masofa hainivutii (earthtones, kama rangi ya ugoro ingefaa zaidi) lakini huu ufanisi wa matengenezo umekaa kama ni wa wanafunzi wa kutengeneza samani. Angalia hiyo misumari inayomeremeta ilivyokuwa haiko kwenye mstari ulionyooka.

Kwa kifupi utengenezaji wake ni dhaifu sana hivyo kwamba mimi, pamoja na umasikini wangu huu, ningepewa hayo makochi bure ningechukua shingo upande.

Ikulu jamani tuwaunge mkono wajasiriamali wa kibongo lakini tusisitize ufanisi. Unadhani ni nchi gani ya jirani itakayokuja Tanzania kununua samani za ikulu yao zinazoonekana kama hizi.

Haya, punguzeni shibe ya x-mass kwa maoni yenu.

****************************************************
NYONGEZA
Tunachokionesha hadharani ikulu ni tangazo kwa dunia nzima kuhusu ufanisi wetu katika tasnia mbalimbali.

Makochi ya ikulu ni tangazo la tasnia ya useremala na upambaji (upholstery) wa samani hapa Tanzania. Tuwe makini na tunavyojitangaza.

Kama mimi ningekuwa katibu mkuu bwana Ombeni Sefue ningefanya hivi:

Ningemuuliza Rais kama anapendezwa na makochi yaliyopo sasa ikulu.

  • Akisema "Haya yanafaa kabisa na sitaki kusikia kitu kingine", basi nitaufyata.
  • Akisema nakuachia wewe uitangaze hii tasnia duniani, basi nitawaita watengenezaji wote wa samani Tanzania na kuwapa changamoto waje na design zao nzuri, na itakayoshinda itaipamba ikulu. Kampuni itayaoshinda ikishirikiana na Interior decorator/designer wa ikulu, First Lady, na pengine na Rais itatuletea makochi ya ikulu yatakayoitangaza tasnia hii ulimwenguni.

kwan we mkuu ushatembeleaga ikulu
 
Back
Top Bottom