Badala ya kujishughulisha na kilichojadiiwa hapo wewe unajishughulisha na samani.
Huna tofauti na mababu zetu waliobadilishana shanga na dhahabu.
samani ndiyo zinaongoza nchi? mijitu mingine bhana!
Msukuma huyo..mambo yakupendeza sio fani yake
Kuongoza nchi kunahusisha mambo mengi sana sio kama unavyodhani wewe. Samani zile ni mbaya, hazina taswira ya kuwa samani za ikulu.
Ungesema tu ukipewa huchukui sio utachukua kwa shingo upande. Hapo ndo tungejua wee maskini jeuri
Basi mie sichukui!
Tunachokionesha hadharani ikulu ni tangazo kwa dunia nzima kuhusu ufanisi wetu katika tasnia mbalimbali.
Makochi ya ikulu ni tangazo la tasnia ya useremala na upambaji (upholstery) wa samani hapa Tanzania. Tuwe makini na tunavyojitangaza.
Kama mimi ningekuwa katibu mkuu bwana Ombeni Sefue ningefanya hivi:
Ningemuuliza Rais kama anapendezwa na makochi yaliyopo sasa ikulu.
Mkuu Kifyatu, kwanza asante katika concern yako kuhusu ubora na ustadi wa thamani za Ikulu yetu!.
- Akisema "Haya yanafaa kabisa na sitaki kusikia kitu kingine", basi nitaufyata.
- Akisema nakuachia wewe uitangaze hii tasnia duniani, basi nitawaita watengenezaji wote wa samani Tanzania na kuwapa changamoto waje na design zao nzuri, na itakayoshinda itaipamba ikulu. Kampuni itayaoshinda ikishirikiana na Interior decorator/designer wa ikulu, First Lady, na pengine na Rais itatuletea makochi ya ikulu yatakayoitangaza tasnia hii ulimwenguni.
Ni kweli mkuu.. Hayo makochi hayavutii kabisa..
Watu mnapenda kuangalia issue za kipuuzi kabisa. Mtoa mada ndio kama wale wanaotizama kila mtu wanaekutana nae kavaa shati, suruali ama mkanda wa design gani au bei gani. Haya ni mambo ya kiswahili kabisa. Kama unataka kochi nzuri si ununue na uweke kwako, au piga picha sitting room yako ujitangaze hapa JF kwa picha.
Watu wanafikiri jinsi ambavyo taifa linaweza songa mbele, wewe unafikiria raisi kavaa suti gani au anakalia kochi gani. Waswahili utawajua tu.
Mimi binafsi siyapendi kabisa hayo makocha, hayana hadhi ya kuwa Ikulu. Nasisitiza mimi binafsi.
Kama haya ndio maono yetu basi tusilie tunapopokonywa biashara na nchi za jirani. Unajua watalii wananunua vinyago vingi Kenya kuliko TZ kwa sababu vinatengenezwa kwa ufanisi mzuri. Vinyago vya TZ ukivisimamisha mezani vinagudaguga wakati vingefanyiwa lathing (kama randa) chini vingekuwa flat kukaa mezani vizuri. Mashine za lathe ndogo kwa wasanii wa vinyago ni bei ya bure lakini wabongo hatufanyi.
Sisi yetu ni "bora twende" tu. Watalii kama wa Kijapani wako makini sana na maono ya vitu wanavyonunua na ndio maana Kenya inakuwa na hisa kubwa sana ya mauzo ya kitalii kuliko TZ.
Watanzania tujitahidi sana katika aesthetics (ujumi) la sivyo tutadorora katika kuuza vitu vyetu, hasa katika soko la nje.
Mkuu cleverbright umeona hoja yangu ya samani za ikulu inavyohusiana moja kwa moja na maendeleo ya nchi yetu?
Kilichopo ikulu ndio tangazo (commercial) kubwa sana la bidhaa za Tanzania. Mtu wa nje anapoona picha ya samani za ikulu yetu kuwa hazivutii, unadhani atafunga safari kuja Tanzania kutafuta samani za nyumbani au ofisini kwake?
Fikiri!
Mkuu Kifyatu, kwanza asante katika concern yako kuhusu ubora na ustadi wa thamani za Ikulu yetu!.
Kwenye utumishi wa umma, kuna kitu kinaitwa Standing Orders, ambazo ndizo kanuni za uendeshaji wa serikali.
Kwenye kanuni hizo, serikali mpya ikiingia madarakani, thamani zote zinabadilishwa kuendana na taste ya awamu mpya!, na sio thamani tuu, hatu magari!, bajeti hiyo iliishatengwa na awamu iliyotangulia!.
Hili sii kwa rais tuu bali hata kwa wale wakuu 5, mawaziri, na wakuu wa vyombo vya dola!.
Wakati wa Mkapa, kampuni iliyo supply samani za Ikulu ni ile Gerry Supper Furnichers iliyopo pale Mlimani City, samani zake ni za kitanzania kwa asilimia 100% save for fabrics only na kiukweli ni nzuri!, mmiliki ni mama mjane fula alikuwa ni best na Mkapa na ndio Best Man na Matorn wa ndoa yao!, hivyo hata kama alipata tender kwa upendeleo maalum lakini ame deliver!.
Naunga mkono hoja ya kushindanisha ubunifu among the local producers the best design na good finishing ndio achukuliwe, ila amini usiamini hili likifanyika, makapuni yatakayoshinda yatakuwa yale yale ya nje yaliajiri local talents na kufanya finishing kwa mashine za kisasa kama kina Ocean Kiss, Cleopatra, Carwin etc ambao wao wana expot very high quality prroducts, viwanda vyetu vya kina fundi Magungo pale Keko tutabaki tukikodoa tuu macho!.
VETA, JKT na Magereza wanatengeneza samani nzuri tuu ila kwenye ubunifu ni finishing, hawawezi kucompete na Wachina wa Ocean Kiss, wa Misri wa Cleopatra, Wa Lebanon wa Derma au wale wazungu walioko njia ya Coca cola!.
The way forward ni kwa seikali yetu kuyalazimisha mabenki yetu yatoe mikopo ya modern finishing equipments kwa wazalishaji samani wazawa ili tuzalishe ile ile quality ya ready made! na hitaji la kuilazimu serikali kununua samani za local pia liwekwe kwenye standing orders!.
Pasco
Mkuu Kifyatu, kwanza asante katika concern yako kuhusu ubora na ustadi wa thamani za Ikulu yetu!.
Kwenye utumishi wa umma, kuna kitu kinaitwa Standing Orders, ambazo ndizo kanuni za uendeshaji wa serikali.
Kwenye kanuni hizo, serikali mpya ikiingia madarakani, thamani zote zinabadilishwa kuendana na taste ya awamu mpya!, na sio thamani tuu, hatu magari!, bajeti hiyo iliishatengwa na awamu iliyotangulia!.
Hili sii kwa rais tuu bali hata kwa wale wakuu 5, mawaziri, na wakuu wa vyombo vya dola!.
Wakati wa Mkapa, kampuni iliyo supply samani za Ikulu ni ile Gerry Supper Furnichers iliyopo pale Mlimani City, samani zake ni za kitanzania kwa asilimia 100% save for fabrics only na kiukweli ni nzuri!, mmiliki ni mama mjane fula alikuwa ni best na Mkapa na ndio Best Man na Matorn wa ndoa yao!, hivyo hata kama alipata tender kwa upendeleo maalum lakini ame deliver!.
Naunga mkono hoja ya kushindanisha ubunifu among the local producers the best design na good finishing ndio achukuliwe, ila amini usiamini hili likifanyika, makapuni yatakayoshinda yatakuwa yale yale ya nje yaliajiri local talents na kufanya finishing kwa mashine za kisasa kama kina Ocean Kiss, Cleopatra, Carwin etc ambao wao wana expot very high quality prroducts, viwanda vyetu vya kina fundi Magungo pale Keko tutabaki tukikodoa tuu macho!.
VETA, JKT na Magereza wanatengeneza samani nzuri tuu ila kwenye ubunifu ni finishing, hawawezi kucompete na Wachina wa Ocean Kiss, wa Misri wa Cleopatra, Wa Lebanon wa Derma au wale wazungu walioko njia ya Coca cola!.
The way forward ni kwa seikali yetu kuyalazimisha mabenki yetu yatoe mikopo ya modern finishing equipments kwa wazalishaji samani wazawa ili tuzalishe ile ile quality ya ready made! na hitaji la kuilazimu serikali kununua samani za local pia liwekwe kwenye standing orders!.
Pasco
Mkuu Kifyatu, kwanza asante katika concern yako kuhusu ubora na ustadi wa thamani za Ikulu yetu!.
Kwenye utumishi wa umma, kuna kitu kinaitwa Standing Orders, ambazo ndizo kanuni za uendeshaji wa serikali.
Kwenye kanuni hizo, serikali mpya ikiingia madarakani, thamani zote zinabadilishwa kuendana na taste ya awamu mpya!, na sio thamani tuu, hatu magari!, bajeti hiyo iliishatengwa na awamu iliyotangulia!.
Hili sii kwa rais tuu bali hata kwa wale wakuu 5, mawaziri, na wakuu wa vyombo vya dola!.
Wakati wa Mkapa, kampuni iliyo supply samani za Ikulu ni ile Gerry Supper Furnichers iliyopo pale Mlimani City, samani zake ni za kitanzania kwa asilimia 100% save for fabrics only na kiukweli ni nzuri!, mmiliki ni mama mjane fula alikuwa ni best na Mkapa na ndio Best Man na Matorn wa ndoa yao!, hivyo hata kama alipata tender kwa upendeleo maalum lakini ame deliver!.
Naunga mkono hoja ya kushindanisha ubunifu among the local producers the best design na good finishing ndio achukuliwe, ila amini usiamini hili likifanyika, makapuni yatakayoshinda yatakuwa yale yale ya nje yaliajiri local talents na kufanya finishing kwa mashine za kisasa kama kina Ocean Kiss, Cleopatra, Carwin etc ambao wao wana expot very high quality prroducts, viwanda vyetu vya kina fundi Magungo pale Keko tutabaki tukikodoa tuu macho!.
VETA, JKT na Magereza wanatengeneza samani nzuri tuu ila kwenye ubunifu ni finishing, hawawezi kucompete na Wachina wa Ocean Kiss, wa Misri wa Cleopatra, Wa Lebanon wa Derma au wale wazungu walioko njia ya Coca cola!.
The way forward ni kwa seikali yetu kuyalazimisha mabenki yetu yatoe mikopo ya modern finishing equipments kwa wazalishaji samani wazawa ili tuzalishe ile ile quality ya ready made! na hitaji la kuilazimu serikali kununua samani za local pia liwekwe kwenye standing orders!.
Pasco
Mkuu Kifyatu, kwanza asante katika concern yako kuhusu ubora na ustadi wa thamani za Ikulu yetu!.
Kwenye utumishi wa umma, kuna kitu kinaitwa Standing Orders, ambazo ndizo kanuni za uendeshaji wa serikali.
Kwenye kanuni hizo, serikali mpya ikiingia madarakani, thamani zote zinabadilishwa kuendana na taste ya awamu mpya!, na sio thamani tuu, hatu magari!, bajeti hiyo iliishatengwa na awamu iliyotangulia!.
Hili sii kwa rais tuu bali hata kwa wale wakuu 5, mawaziri, na wakuu wa vyombo vya dola!.
Wakati wa Mkapa, kampuni iliyo supply samani za Ikulu ni ile Gerry Supper Furnichers iliyopo pale Mlimani City, samani zake ni za kitanzania kwa asilimia 100% save for fabrics only na kiukweli ni nzuri!, mmiliki ni mama mjane fula alikuwa ni best na Mkapa na ndio Best Man na Matorn wa ndoa yao!, hivyo hata kama alipata tender kwa upendeleo maalum lakini ame deliver!.
Naunga mkono hoja ya kushindanisha ubunifu among the local producers the best design na good finishing ndio achukuliwe, ila amini usiamini hili likifanyika, makapuni yatakayoshinda yatakuwa yale yale ya nje yaliajiri local talents na kufanya finishing kwa mashine za kisasa kama kina Ocean Kiss, Cleopatra, Carwin etc ambao wao wana expot very high quality prroducts, viwanda vyetu vya kina fundi Magungo pale Keko tutabaki tukikodoa tuu macho!.
VETA, JKT na Magereza wanatengeneza samani nzuri tuu ila kwenye ubunifu ni finishing, hawawezi kucompete na Wachina wa Ocean Kiss, wa Misri wa Cleopatra, Wa Lebanon wa Derma au wale wazungu walioko njia ya Coca cola!.
The way forward ni kwa seikali yetu kuyalazimisha mabenki yetu yatoe mikopo ya modern finishing equipments kwa wazalishaji samani wazawa ili tuzalishe ile ile quality ya ready made! na hitaji la kuilazimu serikali kununua samani za local pia liwekwe kwenye standing orders!.
Pasco