platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,366
- 11,154
Ruhazwe JR kulikoni.....mbona maswali mengi...unamjua charminglady weweukimla nembe utakua umejira...mpe shem ale wewe utafika huko?
Last edited by a moderator:
Ruhazwe JR kulikoni.....mbona maswali mengi...unamjua charminglady weweukimla nembe utakua umejira...mpe shem ale wewe utafika huko?
Na wewe naweee!
Kwani Pweza ni samaki?
Ndo matatizo ya kuishi Singida
we charminglady ...tulikuwa wote jioni hii nini? maana nilikuwa n staff wenzangu kwenye gari na tulikuwa tunajadili topic kama hiyo.... ndo wewe?
Ruhazwe JR kulikoni.....mbona maswali mengi...unamjua charminglady wewe
ucjali mamito,nikija dec ntakuletea!
Ruhazwe JR kulikoni.....mbona maswali mengi...unamjua charminglady wewe
mwambie swthat!
huyu ni mtu muhimu na ndio maana yupo kwenye ile kamati yangu ya harusi
Ushawahi kumla mbasa? na mbelele je? hao wanatokea ziwa nyasa, ni balaa
desemba mbali lakini nitasubiria....
mwambie swthat!
Ushawahi kumla mbasa? na mbelele je? hao wanatokea ziwa nyasa, ni balaa
Huyu Samaki ni mtamu balaa.... Fl1 wewe ni wakulekule nini?
Shem nawee!
Kumbe vilijipa? Hata basi taarifa rasmi kwamba ushadaka mstiri huntonyi ? Afu umesahau kama hii makitu nilikwishaiona nje ya box? Nikaiweka palepale kwenye comment.
Heheheheheeeeeeeumeonaeeeeee Erickb52 nilijua tu utashabikia ukipita mitaa hii!! mtoto mpana weye ka gate la ikulu! haya kazi kwako wakati wa kumla, usijejing'ata tu, au kupata mtikisiko wa ubongo kwa utamu wake.
dah,we utakuwa mrithi wa sheikh yahya wewe. me cku ile nilihc bt nkasema ngoja nitulie kdg. . . . bdae akanipm kuwa ni mie. nami bila ajizi nkamkubalia make sobhuza c alinitaliki. . . . nyu couple hyo hebu ongezen kuleee!
fo sho me cjawah kula vi.nembe!
Erickb52 kaka raha ya sato acha kabisa! hawana mafuta, hiyo ndiyo haswa sifa yao kuu! nikimuweka viungo kwa bamia za nazi na ugali! acha kabisa best, halafu ana style yake ya kumla kama nilivyokwambia, anza na jicho na mkia, kisha ndio umgeuzegeuze taratibu, utakuja niambia mimi tamuje thatha???Heheheheheeeeeee
Upana una raha yake kama kumla samaki...hasa unapokula kichwa lol unaweza kupaliwa kwa utamu...
Halafu cacico hujanambia we sato unawapendea nini
Hebu funguka faster