Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,463
Uwe unaenda na meza yako
Umeongea ukweliMkuu hata wewe unaweza reserve meza yako mapema kabisa hata sio gharama kama mpo hata wa5 mna piga sim mnawekewa. Niko samaki samaki ya masaki upo wapi niko na pisi kali nikupe hata 1 jamaa yangu au utalalamika huna hela?![]()
Hizo nafasi zinalipiwa kwa kila dakika ishirini ambazo meza imekaa wazi 100000/=, maisha haya mmhhhh!Halafu kama ndio hivyo nawewe weka booking reserved uwepo pia uandaliewe nafasi kwa maana utalia kila siku
Umeongea ukweli
Hela upate kwa shida, na kuitumia pia uitesekee?Yaani Umepeleka Cash Halafu Unaonekana Kama Sakara
Watu wanakuwa washalipia jomba we si omba uwekewe sehemu yako
Hiyo ndio nzuri,na sasa hivi hata kaunta hutakaa kama huna uwezo wa kupiga round ya tano tano kwa wote uliokaa nao Kaunta.Hii si sawa kabisa.
Hv unajua reserved ni shnhap samakisamaki??Kuna hii tabia ya RESERVED, unaingia kula bata unakutana na meza 5 zote Reserved na hakuna pa kukaa, huu ni ubaguzi kwa sisi wateja wenu, ipo siku tutawaachieni na hao watu wenu. Tafuteni mbinu nyingine isiyoonesha ubaguzi wa wazi hivi, mimi nimewahi anatunziwa aliyechelewa, hii si sawa.
Huna hela kaushaHii si sawa kabisa.
Hawezi kulipa ndio maana ana lalama hapaHuwezi chagua mteja kama anaweza kulipa
Tatizo ni ligi ndogo. Atafute hela apewe meza yake specialUkiona hivyo ujue ww bado, tafuta hela kijana acha malalamiko
Actualy huo utaratib ulikuwa upo. Mahotel kibao wanao. Si kwamba kipindi cha jpm haukuwepo.Zama Za JK Zimerudi Upya
Reserved Meza Haa Teh