Samaki Samaki na "Reserved tables"…

Samaki Samaki na "Reserved tables"…

Ni moja ya tamaduni za nchi za Ulaya. Kwa maoni yangu hizi si tamaduni ambazo waafrika tunatakiwa kuziiga. Zinachochea rushwa na urasimu.

Samaki Samaki waache hizi tabia za kimagharibi ambazo haziheshimu tamaduni zetu.

Kwa upande mwingine ni kuwa hizo meza reserved huwa zinakuwa zimebukiwa na anayebuku hutoa kianzio fulani kitu ambacho kibiashara kiko poa sana tu.


Hivyo kwa kumalizia nakaa Neutral.
Kama mtu unaona Samakisamaki wanakuudhi tafuta kiwanja kingine kinachokufurahisha.
Tatizo unakuta kijana anavizia pisi kali inayohudumu hapo Samaki Samaki
 
Kuna hii tabia ya RESERVED, unaingia kula bata unakutana na meza 5 zote Reserved na hakuna pa kukaa, huu ni ubaguzi kwa sisi wateja wenu, ipo siku tutawaachieni na hao watu wenu.

Tafuteni mbinu nyingine isiyoonesha ubaguzi wa wazi hivi, mimi nimewahi anatunziwa aliyechelewa, hii si sawa.
Your spendings have NO IMPACT; that's why !!!
 
Mkuu hata wewe unaweza reserve meza yako mapema kabisa hata sio gharama kama mpo hata wa5 mna piga sim mnawekewa. Niko samaki samaki ya masaki upo wapi niko na pisi kali nikupe hata 1 jamaa yangu au utalalamika huna hela?[emoji28]
Tukutane hapo wiki ijayo, uje na hiyo pisi unataka kunipatia.
 
Basi watu naona wamepata ajenda ya kutetea jiwe. Jiwe anahusika na nini? Ama ndo mna christmas moja hapa town? Meza kuwa reserved mbona kawaida sana hapa mjini. Ni wewe tu na hela yako. Zama za jk ndo ujinga gani... basi bora zirudi... hao ni regular customers wao na wanatumia hela haswaaa. Usiumie mkuu. Tutafute hela na sisi tureserve meza

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Tukiamua kuwaachia hao wenye pesa itakuwaje?
 
Ni moja ya tamaduni za nchi za Ulaya. Kwa maoni yangu hizi si tamaduni ambazo waafrika tunatakiwa kuziiga. Zinachochea rushwa na urasimu.

Samaki Samaki waache hizi tabia za kimagharibi ambazo haziheshimu tamaduni zetu.

Kwa upande mwingine ni kuwa hizo meza reserved huwa zinakuwa zimebukiwa na anayebuku hutoa kianzio fulani kitu ambacho kibiashara kiko poa sana tu.


Hivyo kwa kumalizia nakaa Neutral.
Kama mtu unaona Samakisamaki wanakuudhi tafuta kiwanja kingine kinachokufurahisha.
Umeanza vizuri ukamalizia vibaya.
 
Ukishakuwa na hela kila kitu unaweza fanya...

Hata dokta unaweza mreserve siku hiyo akuhudumie wewe na familia aachane na kutibu wagonjwa wa foleni...
 
Back
Top Bottom